Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

Kitu kimoja kizuri na cha kipekee kuhusu mwanadamu ni uwezo wa ustahimilivu...! Haijalishi siku imekuwaje au umekutana changamoto ni kubwa kiasi gani, kila unapolala na kuamka, unakuwa na nafasi mpya! ya kuanza upya! na kufanya vizuri zaidi...!!!

Je ulijua kuwa tabasamu pekee. . hata kama unalazimisha.... huwa linadanganya ubongo wako na kutoa homoni za furaha (endorphins) ambazo hupunguza msongo wa mawazo??

Hivyo, jaribu kutabasamu kidogo sasa hivi.. Tabasamu hilo linaweza kubadilisha hali yako ya jioni kabisa!

Tabasamu sasa... Mimi nimetabasamu😀
Wewe mzee sema wateja wamekuja sana leo kilingeni kwahiyo nyama ziko za kutosha pamoja na kibuyu kimejaa pesa
 
Nakuwa busy kwa masaa mawili kati ya nane ya kazi
Nitakushauri kwa uwezo wangu pengine ukapona kipenzi iko hivi

Kila kitu kinaanzia ndani yako mwenyewe akili yako inaaminisha ubongo wako kua huwezi kua mbali na simu yako kwamba kuna kitu uta miss

Kwahiyo sasa anza kushughulisha ubongo wako kwa vitu vingine ili uache kukalili jambo moja mda wote

Mf: toka njee ya office yako simu iache ndani kaa seheme ya utulivu na uangalie mazingira
Mfano watu wanavyo move kutoka eneo hili kwenda lingine
Au magari yanavyopishana

Kama kuna bustani ya maua angalia tembea tembea kidogo

Siku za weekend jumuika na hata mtu mmja piga nae story sio lazima ziwe story za kukuhusu

Inshallah utakaa sawa kila la kheri Mmasai wa mjini
 
Nakunywa zangu kili lager,,,
Kibaridi flani hivi huku kijijini!!!! Nasubiri kenge aje maana nilisha mjegesha vya kutosha. Kwa hiyo mi Nina Raha maana uhakika wa kula , kuliwa na kumwaga Tena.
Good evening
 
Kuna fundi furniture alitaka kunialibia jioni yangu. Nimempa kazi ya kutengeneza shelf la viatu niweke dukani kwangu. Nimepita jioni ofisini kwake kwake kazi haijaisha wakati jumamosi wakati nampa kazi aliniambia baada ya siku mbili itakua tayari.

Nimepita bar kucheza pooltable na washkaji na kumwagilia moyo mdogo mdogo wakati nasubiri game ya psg vs bayern munich ndio furaha imerudi.
 
Old bongo fleva: Tabasamu by Bush baby
 
Nitakushauri kwa uwezo wangu pengine ukapona kipenzi iko hivi

Kila kitu kinaanzia ndani yako mwenyewe akili yako inaaminisha ubongo wako kua huwezi kua mbali na simu yako kwamba kuna kitu uta miss

Kwahiyo sasa anza kushughulisha ubongo wako kwa vitu vingine ili uache kukalili jambo moja mda wote

Mf: toka njee ya office yako simu iache ndani kaa seheme ya utulivu na uangalie mazingira
Mfano watu wanavyo move kutoka eneo hili kwenda lingine
Au magari yanavyopishana

Kama kuna bustani ya maua angalia tembea tembea kidogo

Siku za weekend jumuika na hata mtu mmja piga nae story sio lazima ziwe story za kukuhusu

Inshallah utakaa sawa kila la kheri Mmasai wa mjini
Ahsante sana Mkuu. Nitajitahidi
 
Nakunywa zangu kili lager,,,
Kibaridi flani hivi huku kijijini!!!! Nasubiri kenge aje maana nilisha mjegesha vya kutosha. Kwa hiyo mi Nina Raha maana uhakika wa kula , kuliwa na kumwaga Tena.
Good evening
Hapo kwenye kuliwa 😋
Huyo kenge hana rafiki yake unipasie kama mayele😁🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Nakunywa zangu kili lager,,,
Kibaridi flani hivi huku kijijini!!!! Nasubiri kenge aje maana nilisha mjegesha vya kutosha. Kwa hiyo mi Nina Raha maana uhakika wa kula , kuliwa na kumwaga Tena.
Good evening
Kwa hiyo mi Nina Raha maana uhakika wa kula , kuliwa na kumwaga Tena.💥🔥🔥🔥
 
Wewe mzee sema wateja wamekuja sana leo kilingeni kwahiyo nyama ziko za kutosha pamoja na kibuyu kimejaa pesa
Love witchcraft spells that work very fast in Tara.jpeg
Black Magic to Separate People.jpeg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom