Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

Jioni yako ikoje? Yangu imejaa tabasamu

Nakunywa zangu kili lager,,,
Kibaridi flani hivi huku kijijini!!!! Nasubiri kenge aje maana nilisha mjegesha vya kutosha. Kwa hiyo mi Nina Raha maana uhakika wa kula , kuliwa na kumwaga Tena.
Good evening
fce694e6-4d03-4f96-8f0b-0ed72919638f.jpeg
 
Hapo kwenye kuliwa 😋
Huyo kenge hana rafiki yake unipasie kama mayele😁🏃‍♂️🏃‍♂️
Kenge mi nilimuokotaga hukuuuuu sanga mwalugeshi.
Nyie si mnataka six pack, virasta na afanane na mama yake na kiuno cha kukatika juuu ya meza!!!!!!!
Mi Nina connection na wafupi weusi na vitambi vya utapia mlo!!¡ Vipi nikuunge?
 
Kenge mi nilimuokotaga hukuuuuu sanga mwalugeshi.
Nyie si mnataka six pack, virasta na afanane na mama yake na kiuno cha kukatika juuu ya meza!!!!!!!
Mi Nina connection na wafupi weusi na vitambi vya utapia mlo!!¡ Vipi nikuunge?
😀😀😀
 
Kenge mi nilimuokotaga hukuuuuu sanga mwalugeshi.
Nyie si mnataka six pack, virasta na afanane na mama yake na kiuno cha kukatika juuu ya meza!!!!!!!
Mi Nina connection na wafupi weusi na vitambi vya utapia mlo!!¡ Vipi nikuunge?
Msamehe bado hajachezwa wala hajavunjiwa ungo😀
 
Kenge mi nilimuokotaga hukuuuuu sanga mwalugeshi.
Unasema kweli 😆
Nyie si mnataka six pack, virasta na afanane na mama yake na kiuno cha kukatika juuu ya meza!!!!!!!
Hakunaaa bana mie wa hivi sitaki
We kuweza stress deilee nooo
Mi Nina connection na wafupi weusi na vitambi vya utapia mlo!!¡ Vipi nikuunge?
Enheeeee si ndiooo
Niunge ila sasa kakosa kila kitu six pack kiuno kama dondola
Ila sasa 😉 walau yaliyomo yawemooo🤭
 
Unasema kweli 😆

Hakunaaa bana mie wa hivi sitaki
We kuweza stress deilee nooo

Enheeeee si ndiooo
Niunge ila sasa kakosa kila kitu six pack kiuno kama dondola
Ila sasa 😉 walau yaliyomo yawemooo🤭
Oohooo😂😂😂 nilikuwa nakuteteeaaa🤣🤣🤣
 
Sidhani kama kuna kutabasamu bila ya kuwa na sababu ya msingi.

Yani umekaa tu, hakuna kitu kilicho kufurahisha, mara unakenua?
 
Sidhani kama kuna kutabasamu bila ya kuwa na sababu ya msingi.

Yani umekaa tu, hakuna kitu kilicho kufurahisha, mara unakenua?
Kutabasamu: Huku ni kuonyesha furaha kwa kutanua mdomo kidogo bila kutoa sauti wala kuonyesha meno kwa kiasi kikubwa. Mara nyingi tabasamu huonekana kama ishara ya upole, amani, au ridhaa ya ndani.
Kukenua (au Kukenyua): Huku ni kucheka au kuonyesha furaha kwa kuachia mdomo wazi mpaka meno (wakati mwingine hadi magego) yaonekane. Neno hili mara nyingi hutumika kuelezea kitendo cha kuonyesha meno sana, na wakati mwingine linaweza kutumika kumaanisha kuonyesha meno kwa dhihaka au kulazimisha tabasamu (fake smile).

Kwa ufupi, kutabasamu ni kitendo cha siri na utulivu zaidi, wakati kukenua ni kitendo cha wazi kinachohusisha kuonyesha meno kwa wingi.
 
Kutabasamu: Huku ni kuonyesha furaha kwa kutanua mdomo kidogo bila kutoa sauti wala kuonyesha meno kwa kiasi kikubwa. Mara nyingi tabasamu huonekana kama ishara ya upole, amani, au ridhaa ya ndani.
Kukenua (au Kukenyua): Huku ni kucheka au kuonyesha furaha kwa kuachia mdomo wazi mpaka meno (wakati mwingine hadi magego) yaonekane. Neno hili mara nyingi hutumika kuelezea kitendo cha kuonyesha meno sana, na wakati mwingine linaweza kutumika kumaanisha kuonyesha meno kwa dhihaka au kulazimisha tabasamu (fake smile).

Kwa ufupi, kutabasamu ni kitendo cha siri na utulivu zaidi, wakati kukenua ni kitendo cha wazi kinachohusisha kuonyesha meno kwa wingi.
Kiuhalisia, hakuna binadamu ambaye huwa anatabasamu pasipo kuwa na sababu ya aina yoyote ile ya kumfanya atabasamu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom