joyce123
Member
- Mar 4, 2021
- 10
- 10
Naomba niweke mada mezani kutokana na yaliyonisibu Mimi, nilikuw ni kijana mtiifu, mwaminifu na mchamungu lakini baada ya kujiingiza kwenye kamari za mitandaoni hasa hasa kasino nilipoteza Kila kitu katika maisha yangu, kuanzia kwenye kazi nzuri, akiba, duka, gari, viwanja na madeni juu na kupoteza uaminifu.
Baada ya kupoteza vitu vyote mwanzo ilikuw jambo gumu kukubaliana na uhalisia lakini baada ya kukubaliana na Kila kitu now ndo naanza kujitafuta upya, huku nikiendesha bajaji ya hesabu.
Wana JF tushauriane nini kifanyike vijana kuacha kuibiwa
Baada ya kupoteza vitu vyote mwanzo ilikuw jambo gumu kukubaliana na uhalisia lakini baada ya kukubaliana na Kila kitu now ndo naanza kujitafuta upya, huku nikiendesha bajaji ya hesabu.
Wana JF tushauriane nini kifanyike vijana kuacha kuibiwa