Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 37,620
- 46,260
Kuna clips nyingi nimeziona mitandaoni zikionyesha mahojiano ya online TV na vijana wa Arusha kama wakiwa katika hali za ajabu ajabu kama walevi fulani wa pombe kali au mihadarati.
Wengi wao niliowaona wanaonekana ni wadogo sana ila wanaonekana wakiwa na sura zilizochoka sana kutokana na ulevi na wanazungumza na kuenenda kama mazombi fulani.
Sina hakika kama huo ni uongeaji wao asili, kama sio uongeaji wao wa asili bali ni kutokana na pombe au mihadarati serikali na mashirika binafsi yanahitaji kuingilia kati kuwakoa vijana hao kama sehemu muhimu ya taifa letu.
Wengi wao niliowaona wanaonekana ni wadogo sana ila wanaonekana wakiwa na sura zilizochoka sana kutokana na ulevi na wanazungumza na kuenenda kama mazombi fulani.
Sina hakika kama huo ni uongeaji wao asili, kama sio uongeaji wao wa asili bali ni kutokana na pombe au mihadarati serikali na mashirika binafsi yanahitaji kuingilia kati kuwakoa vijana hao kama sehemu muhimu ya taifa letu.