Uzinzi, Ulevi wa pombe na kamari vimeleta maumivu makubwa Kwa wanaumme wengi Sana

witzone2

JF-Expert Member
Jan 14, 2022
780
1,636
Naandika hivi vitatu ambavyo ni starehe zinazoleta maumivu na umaskin mkubwa Sana kwenye maisha ya wanaumme tulio wengi

Nianze na uzinzi. Mwanaumme mzinzi hutumia pesa nyingi sana kwenye huu ushenzi wa uzinzi. Hupata Hela wakat mwingine Kwa shida Sana hata kuhatarisha maisha. Lakin Hela nyingi huteketea kwenye uzinzi. Huwazi kufanya vitu vya kimaendeleo. Kama vile kujenga. Kusomesha watoto. Kuweka aseti..

Hasara za uzinzi.
Kupata magonjwa.
Kutelekeza familia.
Kutosomesha watoto.
Kufa mapema.
Kufilisika.
Familia kuish maisha duni.
Mikosi kwenye family
Watoto wa mitaan
Ndoa kuvunjika
Mauaji.

Ulevyi wa pombe. Hii ni starehe inayopukutisha Hela za wanaumme. Wanaumme wengi tunapata pesa Kwa shida Sana ila tukishazipata zote huishia kwenye ulevi wa pombe. Hapa nitatoa mifano ya wanaumme wanaomalizia Hela kwenye ulevi. Wachimbaji wa madin wadogo wanaoingia duarani. Siku duara likitema. 90% watatumia pesa kwenye pombe Hadi ziishe ndo warud Tena duarani kichimba Tena.
Wavuvu wa samaki. Watashinda usku kucha Majin wanapambana na upepo mkali na barid ila asubuhi BAADA ya kuuza samaki wataingia kumwagilia moyo Hadi jion Tena.
Boda Boda nao wamo.

Hasara za ulevi wa pombe kupita kiasa.
Kufa mapema.
Magonjwa
Huleta umaskn kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutosoma
Hela kuishia kwenye ulevi.
Kukosana na ndugu na marafiki
Ugomvi.
Ndoa kuvunjika.
Watoto wa mitaan.

Starehe ya mwisho ni kamari. Kamar Kwa vijana wa kiume imekuwa ni janga la taifa. Vijana hatufanyi kazi tunasubiria kubeti. Matokeo yake Hela zote huishia kwenye kamari. Hizi ndo aina za kamar. Mabonanza ya wachina haya yamefilisi watu hasa huko vijijin na kitajirisha wachina.

Betting ndo usiseme. Mjini asabuhi kumbe za betting hujaa mapema Sana. Matangazo ya kuvutia kwenye runinga na radion huvutia mamilion ya vijana Kwa kuhamasisha utajiri. Matokeo yake campuni za betting ndo zinatengeneza mabilionea Kila siku Kwa kutumia ujinga wetu.

Karata nazo zimo.kwa wanaumme kuliwa pesa Kila siku Kwa kupitia starehe hii.

Hasara za ulevi wa kamari
Umaskin kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutokusoma
Kumaliza Hela na asaert
Kushindwa kujiwekea asaert yoyote Ile
Migogoro kwenye familia yako
Ndoa kuvunjika
Watoto wa mitaan.

Hizi starehe tatu Nina mifano hai Toka kwenye familia yetu. Ukoo wetu na jamii ninayoishi.

Hivyo basi ombi langu Kwa wanaumme wenzangu tupunguze hizi starehe Ili tujenge msakabali Bora wa maisha yetu. Na familia zetu Ili ziwe na maisha mazur.

Mungu wetu wa mbingun atusaisie. Na kila mmoja wetu aweze kupambana na huu ulevi na kuushinda
 
Naandika hivi vitatu ambavyo ni starehe zinazoleta maumivu na umaskin mkubwa Sana kwenye maisha ya wanaumme tulio wengi

Nianze na uzinzi. Mwanaumme mzinzi hutumia pesa nyingi sana kwenye huu ushenzi wa uzinzi. Hupata Hela wakat mwingine Kwa shida Sana hata kuhatarisha maisha. Lakin Hela nyingi huteketea kwenye uzinzi. Huwazi kufanya vitu vya kimaendeleo. Kama vile kujenga. Kusomesha watoto. Kuweka aseti..

Hasara za uzinzi.
Kupata magonjwa.
Kutelekeza familia.
Kutosomesha watoto.
Kufa mapema.
Kufilisika.
Familia kuish maisha duni.
Mikosi kwenye family
Watoto wa mitaan
Ndoa kuvunjika
Mauaji.

Ulevyi wa pombe. Hii ni starehe inayopukutisha Hela za wanaumme. Wanaumme wengi tunapata pesa Kwa shida Sana ila tukishazipata zote huishia kwenye ulevi wa pombe. Hapa nitatoa mifano ya wanaumme wanaomalizia Hela kwenye ulevi. Wachimbaji wa madin wadogo wanaoingia duarani. Siku duara likitema. 90% watatumia pesa kwenye pombe Hadi ziishe ndo warud Tena duarani kichimba Tena.
Wavuvu wa samaki. Watashinda usku kucha Majin wanapambana na upepo mkali na barid ila asubuhi BAADA ya kuuza samaki wataingia kumwagilia moyo Hadi jion Tena.
Boda Boda nao wamo.

Hasara za ulevi wa pombe kupita kiasa.
Kufa mapema.
Magonjwa
Huleta umaskn kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutosoma
Hela kuishia kwenye ulevi.
Kukosana na ndugu na marafiki
Ugomvi.
Ndoa kuvunjika.
Watoto wa mitaan.

Starehe ya mwisho ni kamari. Kamar Kwa vijana wa kiume imekuwa ni janga la taifa. Vijana hatufanyi kazi tunasubiria kubeti. Matokeo yake Hela zote huishia kwenye kamari. Hizi ndo aina za kamar. Mabonanza ya wachina haya yamefilisi watu hasa huko vijijin na kitajirisha wachina.

Betting ndo usiseme. Mjini asabuhi kumbe za betting hujaa mapema Sana. Matangazo ya kuvutia kwenye runinga na radion huvutia mamilion ya vijana Kwa kuhamasisha utajiri. Matokeo yake campuni za betting ndo zinatengeneza mabilionea Kila siku Kwa kutumia ujinga wetu.

Karata nazo zimo.kwa wanaumme kuliwa pesa Kila siku Kwa kupitia starehe hii.

Hasara za ulevi wa kamari
Umaskin kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutokusoma
Kumaliza Hela na asaert
Kushindwa kujiwekea asaert yoyote Ile
Migogoro kwenye familia yako
Ndoa kuvunjika
Watoto wa mitaan.

Hizi starehe tatu Nina mifano hai Toka kwenye familia yetu. Ukoo wetu na jamii ninayoishi.

Hivyo basi ombi langu Kwa wanaumme wenzangu tupunguze hizi starehe Ili tujenge msakabali Bora wa maisha yetu. Na familia zetu Ili ziwe na maisha mazur.

Mungu wetu wa mbingun atusaisie. Na kila mmoja wetu aweze kupambana na huu ulevi na kuushinda
Uzi wa moto sana huu
 
Naandika hivi vitatu ambavyo ni starehe zinazoleta maumivu na umaskin mkubwa Sana kwenye maisha ya wanaumme tulio wengi

Nianze na uzinzi. Mwanaumme mzinzi hutumia pesa nyingi sana kwenye huu ushenzi wa uzinzi. Hupata Hela wakat mwingine Kwa shida Sana hata kuhatarisha maisha. Lakin Hela nyingi huteketea kwenye uzinzi. Huwazi kufanya vitu vya kimaendeleo. Kama vile kujenga. Kusomesha watoto. Kuweka aseti..

Hasara za uzinzi.
Kupata magonjwa.
Kutelekeza familia.
Kutosomesha watoto.
Kufa mapema.
Kufilisika.
Familia kuish maisha duni.
Mikosi kwenye family
Watoto wa mitaan
Ndoa kuvunjika
Mauaji.

Ulevyi wa pombe. Hii ni starehe inayopukutisha Hela za wanaumme. Wanaumme wengi tunapata pesa Kwa shida Sana ila tukishazipata zote huishia kwenye ulevi wa pombe. Hapa nitatoa mifano ya wanaumme wanaomalizia Hela kwenye ulevi. Wachimbaji wa madin wadogo wanaoingia duarani. Siku duara likitema. 90% watatumia pesa kwenye pombe Hadi ziishe ndo warud Tena duarani kichimba Tena.
Wavuvu wa samaki. Watashinda usku kucha Majin wanapambana na upepo mkali na barid ila asubuhi BAADA ya kuuza samaki wataingia kumwagilia moyo Hadi jion Tena.
Boda Boda nao wamo.

Hasara za ulevi wa pombe kupita kiasa.
Kufa mapema.
Magonjwa
Huleta umaskn kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutosoma
Hela kuishia kwenye ulevi.
Kukosana na ndugu na marafiki
Ugomvi.
Ndoa kuvunjika.
Watoto wa mitaan.

Starehe ya mwisho ni kamari. Kamar Kwa vijana wa kiume imekuwa ni janga la taifa. Vijana hatufanyi kazi tunasubiria kubeti. Matokeo yake Hela zote huishia kwenye kamari. Hizi ndo aina za kamar. Mabonanza ya wachina haya yamefilisi watu hasa huko vijijin na kitajirisha wachina.

Betting ndo usiseme. Mjini asabuhi kumbe za betting hujaa mapema Sana. Matangazo ya kuvutia kwenye runinga na radion huvutia mamilion ya vijana Kwa kuhamasisha utajiri. Matokeo yake campuni za betting ndo zinatengeneza mabilionea Kila siku Kwa kutumia ujinga wetu.

Karata nazo zimo.kwa wanaumme kuliwa pesa Kila siku Kwa kupitia starehe hii.

Hasara za ulevi wa kamari
Umaskin kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutokusoma
Kumaliza Hela na asaert
Kushindwa kujiwekea asaert yoyote Ile
Migogoro kwenye familia yako
Ndoa kuvunjika
Watoto wa mitaan.

Hizi starehe tatu Nina mifano hai Toka kwenye familia yetu. Ukoo wetu na jamii ninayoishi.

Hivyo basi ombi langu Kwa wanaumme wenzangu tupunguze hizi starehe Ili tujenge msakabali Bora wa maisha yetu. Na familia zetu Ili ziwe na maisha mazur.

Mungu wetu wa mbingun atusaisie. Na kila mmoja wetu aweze kupambana na huu ulevi na kuushinda
Huwa nawambia Watu ukiona Una Baba yako ambaye hajatoboa Kimaisha basi ujue kuna kimoja au viwili kati ya hivyo Tajwa.

Wanaume woote ni wapambanaji, hata kama hupati vingi angalau pesa ya ustawi wa familia yako huwezi kukosa.
 
Naandika hivi vitatu ambavyo ni starehe zinazoleta maumivu na umaskin mkubwa Sana kwenye maisha ya wanaumme tulio wengi

Nianze na uzinzi. Mwanaumme mzinzi hutumia pesa nyingi sana kwenye huu ushenzi wa uzinzi. Hupata Hela wakat mwingine Kwa shida Sana hata kuhatarisha maisha. Lakin Hela nyingi huteketea kwenye uzinzi. Huwazi kufanya vitu vya kimaendeleo. Kama vile kujenga. Kusomesha watoto. Kuweka aseti..

Hasara za uzinzi.
Kupata magonjwa.
Kutelekeza familia.
Kutosomesha watoto.
Kufa mapema.
Kufilisika.
Familia kuish maisha duni.
Mikosi kwenye family
Watoto wa mitaan
Ndoa kuvunjika
Mauaji.

Ulevyi wa pombe. Hii ni starehe inayopukutisha Hela za wanaumme. Wanaumme wengi tunapata pesa Kwa shida Sana ila tukishazipata zote huishia kwenye ulevi wa pombe. Hapa nitatoa mifano ya wanaumme wanaomalizia Hela kwenye ulevi. Wachimbaji wa madin wadogo wanaoingia duarani. Siku duara likitema. 90% watatumia pesa kwenye pombe Hadi ziishe ndo warud Tena duarani kichimba Tena.
Wavuvu wa samaki. Watashinda usku kucha Majin wanapambana na upepo mkali na barid ila asubuhi BAADA ya kuuza samaki wataingia kumwagilia moyo Hadi jion Tena.
Boda Boda nao wamo.

Hasara za ulevi wa pombe kupita kiasa.
Kufa mapema.
Magonjwa
Huleta umaskn kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutosoma
Hela kuishia kwenye ulevi.
Kukosana na ndugu na marafiki
Ugomvi.
Ndoa kuvunjika.
Watoto wa mitaan.

Starehe ya mwisho ni kamari. Kamar Kwa vijana wa kiume imekuwa ni janga la taifa. Vijana hatufanyi kazi tunasubiria kubeti. Matokeo yake Hela zote huishia kwenye kamari. Hizi ndo aina za kamar. Mabonanza ya wachina haya yamefilisi watu hasa huko vijijin na kitajirisha wachina.

Betting ndo usiseme. Mjini asabuhi kumbe za betting hujaa mapema Sana. Matangazo ya kuvutia kwenye runinga na radion huvutia mamilion ya vijana Kwa kuhamasisha utajiri. Matokeo yake campuni za betting ndo zinatengeneza mabilionea Kila siku Kwa kutumia ujinga wetu.

Karata nazo zimo.kwa wanaumme kuliwa pesa Kila siku Kwa kupitia starehe hii.

Hasara za ulevi wa kamari
Umaskin kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutokusoma
Kumaliza Hela na asaert
Kushindwa kujiwekea asaert yoyote Ile
Migogoro kwenye familia yako
Ndoa kuvunjika
Watoto wa mitaan.

Hizi starehe tatu Nina mifano hai Toka kwenye familia yetu. Ukoo wetu na jamii ninayoishi.

Hivyo basi ombi langu Kwa wanaumme wenzangu tupunguze hizi starehe Ili tujenge msakabali Bora wa maisha yetu. Na familia zetu Ili ziwe na maisha mazur.

Mungu wetu wa mbingun atusaisie. Na kila mmoja wetu aweze kupambana na huu ulevi na kuushinda
Mkuu umesahau ""BANGI"" tupe darasa kidogo MR. MCHAMBUZI 😊😊
 
Naandika hivi vitatu ambavyo ni starehe zinazoleta maumivu na umaskin mkubwa Sana kwenye maisha ya wanaumme tulio wengi

Nianze na uzinzi. Mwanaumme mzinzi hutumia pesa nyingi sana kwenye huu ushenzi wa uzinzi. Hupata Hela wakat mwingine Kwa shida Sana hata kuhatarisha maisha. Lakin Hela nyingi huteketea kwenye uzinzi. Huwazi kufanya vitu vya kimaendeleo. Kama vile kujenga. Kusomesha watoto. Kuweka aseti..

Hasara za uzinzi.
Kupata magonjwa.
Kutelekeza familia.
Kutosomesha watoto.
Kufa mapema.
Kufilisika.
Familia kuish maisha duni.
Mikosi kwenye family
Watoto wa mitaan
Ndoa kuvunjika
Mauaji.

Ulevyi wa pombe. Hii ni starehe inayopukutisha Hela za wanaumme. Wanaumme wengi tunapata pesa Kwa shida Sana ila tukishazipata zote huishia kwenye ulevi wa pombe. Hapa nitatoa mifano ya wanaumme wanaomalizia Hela kwenye ulevi. Wachimbaji wa madin wadogo wanaoingia duarani. Siku duara likitema. 90% watatumia pesa kwenye pombe Hadi ziishe ndo warud Tena duarani kichimba Tena.
Wavuvu wa samaki. Watashinda usku kucha Majin wanapambana na upepo mkali na barid ila asubuhi BAADA ya kuuza samaki wataingia kumwagilia moyo Hadi jion Tena.
Boda Boda nao wamo.

Hasara za ulevi wa pombe kupita kiasa.
Kufa mapema.
Magonjwa
Huleta umaskn kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutosoma
Hela kuishia kwenye ulevi.
Kukosana na ndugu na marafiki
Ugomvi.
Ndoa kuvunjika.
Watoto wa mitaan.

Starehe ya mwisho ni kamari. Kamar Kwa vijana wa kiume imekuwa ni janga la taifa. Vijana hatufanyi kazi tunasubiria kubeti. Matokeo yake Hela zote huishia kwenye kamari. Hizi ndo aina za kamar. Mabonanza ya wachina haya yamefilisi watu hasa huko vijijin na kitajirisha wachina.

Betting ndo usiseme. Mjini asabuhi kumbe za betting hujaa mapema Sana. Matangazo ya kuvutia kwenye runinga na radion huvutia mamilion ya vijana Kwa kuhamasisha utajiri. Matokeo yake campuni za betting ndo zinatengeneza mabilionea Kila siku Kwa kutumia ujinga wetu.

Karata nazo zimo.kwa wanaumme kuliwa pesa Kila siku Kwa kupitia starehe hii.

Hasara za ulevi wa kamari
Umaskin kwenye familia
Kutelekeza familia
Watoto kutokusoma
Kumaliza Hela na asaert
Kushindwa kujiwekea asaert yoyote Ile
Migogoro kwenye familia yako
Ndoa kuvunjika
Watoto wa mitaan.

Hizi starehe tatu Nina mifano hai Toka kwenye familia yetu. Ukoo wetu na jamii ninayoishi.

Hivyo basi ombi langu Kwa wanaumme wenzangu tupunguze hizi starehe Ili tujenge msakabali Bora wa maisha yetu. Na familia zetu Ili ziwe na maisha mazur.

Mungu wetu wa mbingun atusaisie. Na kila mmoja wetu aweze kupambana na huu ulevi na kuushinda
Wewe hufanyi hayo yote, una nini sasa?
 
eti unywi pombe, sio mzinzi, kamari hutaki, umekuja duniani kufanya nn sasa? halafu ukute watoto wanasoma saint kayumba zilizochangamka, the so called english medium, kuna jamaa anasomesha mtoto wake feza kwa kubet, aliponiambia sikuamini ila baada ya kunifafanulia niliamini,
Hao ndo wanajiita motivational speakers. Hawana lolote. Siwasikilizagi hata kwa bure
 
Jadili mada au toa maoni yako. Ukitaka ujue Nina Nina. Hutaelewa. Siwezi weka mafanikio yangu kwenye mitandao ya kijamii. Humu tunapeana elimu. Burudan na konection za maisha
Why should I wate my time kujadili mada ya kijinga iliyoletwa na frustrated mind? Jadili na wajinga wenzako.
 
Back
Top Bottom