Jinsi ya kuepuka kununua gari kwa gharama zisizo stahili

Candela

JF-Expert Member
Aug 12, 2021
628
1,648
Habari wadau, leo nimeona nifanye kushare na nyinyi kidogo kuhusu uchaguzi wa magari hasa linalokuja suala la bei.

Ni wazi bei za magari hazifanani, mfano Rav 4 latest model na Vanguard latest bei zao hasifanani lakini ukifuatilia utakuta unalipa pesa zaidi bila kujua.

Nitazungumzia Lamborghini urus kama mfano, hili ni gari la kifahari linalotenhenezwa nchiji Italy, thamani yake kibongo ni takribani milioni 900 mpaka Bilion kwa full options. Lakini ukilichunguza hili gari utagundua halina tofauti na Audi Q8 ambayo thamani yake ni takribani milioni 350 za kibongo. Lamborghini urus imeundwa kwa ku unga unga. Kama ifuatavyo:

Rear steering ni ya VW toureg.
Engine ni ya Audi RS Q8
Wishbones ni za VW toureg
Shock Absorbers ni za Audi

Na part nyingine zimetoka kwenye Porsche Cayenne.

Ifahamike kuwa Volkswagen group ndio wamiliki wa brand zote hapo juu na zingine kibao.

Kibongo bongo mtu ambae hawezi kunua Rav 4 anaweza kuwa na Vanguard kwan ni gari ileile imebadilishwa body tu. Na zingine zipo kibao mnaweza kuongezea.
 
Ongelea gari zetu buana kamaVitz wish Ist, Nissan trail nk, kweli unaongelea magari ya billion million 350, ni 0.0001% ya watanzanua wenye uwezo wa kumiliki gari lenye thamani ya 50m na kuendelea. kati ya wa Tanzania 65m, wenye kumiliki hayo magari ya billion hata watu 10,000 hawafiki.
 
Habari wadau, leo nimeona nifanye kushare na nyinyi kidogo kuhusu uchaguzi wa magari hasa linalokuja suala la bei.
Ni wazi bei za magari hazifanani, mfano Rav 4 latest model na Vanguard latest bei zao hasifanani lakini ukifuatilia utakuta unalipa pesa zaidi bila kujua.

Nitazungumzia Lamborghini urus kama mfano, hili ni gari la kifahari linalotenhenezwa nchiji Italy, thamani yake kibongo ni takribani milioni 900 mpaka Bilion kwa full options. Lakini ukilichunguza hili gari utagundua halina tofauti na Audi Q8 ambayo thamani yake ni takribani milioni 350 za kibongo. Lamborghini urus imeundwa kwa ku unga unga. Kama ifuatavyo.
Rear steering ni ya VW toureg.
Engine ni ya Audi RS Q8
Wishbones ni za VW toureg
Shock Absorbers ni za Audi
Na part nyingine zimetoka kwenye Porsche Cayenne.
Ifahamike kuwa Volkswagen group ndio wamiliki wa brand zote hapo juu na zingine kibao.
Kibongo bongo mtu ambae hawezi kunua Rav 4 anaweza kuwa na Vanguard kwan ni gari ileile imebadilishwa body tu. Na zingine zipo kibao mnaweza kuongezea.
Wabongo wengi wanapenda muonekano wa body, ndio maana unaweza ukauliza kuwa nataka kununua gari fulani imenivutia.

Atakuja mdau utasikia gari gani achana nayo, chukua gari fulan bila kujal kuwa ww pengine huvutiwi nalo. Na ukimuuliza kwa nn niachane nalo utasikia halina muonekano mzuri. Na ndio maana tunapigwa hela kwenye gari ya kufanana kama vangard na miss tanzania.
 
Gari Ni Hii Tu Hata Litre 1 Unakwenda Tu
images.jpeg.jpg

Haina Makuu Wala Nini
 
Habari wadau, leo nimeona nifanye kushare na nyinyi kidogo kuhusu uchaguzi wa magari hasa linalokuja suala la bei.
Ni wazi bei za magari hazifanani, mfano Rav 4 latest model na Vanguard latest bei zao hasifanani lakini ukifuatilia utakuta unalipa pesa zaidi bila kujua.

Nitazungumzia Lamborghini urus kama mfano, hili ni gari la kifahari linalotenhenezwa nchiji Italy, thamani yake kibongo ni takribani milioni 900 mpaka Bilion kwa full options. Lakini ukilichunguza hili gari utagundua halina tofauti na Audi Q8 ambayo thamani yake ni takribani milioni 350 za kibongo. Lamborghini urus imeundwa kwa ku unga unga. Kama ifuatavyo.
Rear steering ni ya VW toureg.
Engine ni ya Audi RS Q8
Wishbones ni za VW toureg
Shock Absorbers ni za Audi
Na part nyingine zimetoka kwenye Porsche Cayenne.
Ifahamike kuwa Volkswagen group ndio wamiliki wa brand zote hapo juu na zingine kibao.
Kibongo bongo mtu ambae hawezi kunua Rav 4 anaweza kuwa na Vanguard kwan ni gari ileile imebadilishwa body tu. Na zingine zipo kibao mnaweza kuongezea.
On papers yes ila kwenye reality kuna kautofauti.

Vangurd na Rav 4 mmoja na wheelbase kubwa.

Wale ndugu zangu wa VW ukikosa hela ya kununua Golf GTI au Polo GTI basi nunua Audi A3 au Audi A1.
 
Ongelea gari zetu buana kamaVitz wish Ist, Nissan trail nk, kweli unaongelea magari ya billion million 350, ni 0.0001% ya watanzanua wenye uwezo wa kumiliki gari lenye thamani ya 50m na kuendelea. kati ya wa Tanzania 65m, wenye kumiliki hayo magari ya billion hata watu 10,000 hawafiki.
Naelewa mkuu, hizo nimetoa kama mfano tu.
 
Ipsum na wish hawana tofauti kabisaa!!!
Shida ya Toyota ndiyo hiyo unakuta Kwa mfano engine ya 1NZ-FE imetumika kwenye magari zaidi ya 8 tofauti kinachofanyika ni kubadili mwonekano Tu ..
 
Huuzi uzi ungebamba sana kama mleta mada angetumia mazingira yetu na gari ambazo Ni pendwa hapa bongo

Lakini anaonekana kama anaandika hearsay yeye mwenyewe hayuko deep sana kwenye tasnia ya mashine za mwendo.
 
Habari wadau, leo nimeona nifanye kushare na nyinyi kidogo kuhusu uchaguzi wa magari hasa linalokuja suala la bei.

Ni wazi bei za magari hazifanani, mfano Rav 4 latest model na Vanguard latest bei zao hasifanani lakini ukifuatilia utakuta unalipa pesa zaidi bila kujua.

Nitazungumzia Lamborghini urus kama mfano, hili ni gari la kifahari linalotenhenezwa nchiji Italy, thamani yake kibongo ni takribani milioni 900 mpaka Bilion kwa full options. Lakini ukilichunguza hili gari utagundua halina tofauti na Audi Q8 ambayo thamani yake ni takribani milioni 350 za kibongo. Lamborghini urus imeundwa kwa ku unga unga. Kama ifuatavyo:

Rear steering ni ya VW toureg.
Engine ni ya Audi RS Q8
Wishbones ni za VW toureg
Shock Absorbers ni za Audi

Na part nyingine zimetoka kwenye Porsche Cayenne.

Ifahamike kuwa Volkswagen group ndio wamiliki wa brand zote hapo juu na zingine kibao.

Kibongo bongo mtu ambae hawezi kunua Rav 4 anaweza kuwa na Vanguard kwan ni gari ileile imebadilishwa body tu. Na zingine zipo kibao mnaweza kuongezea.
kinacho uzwa ni brand na logo
 
Engine inaweza kua sawa lakini mwonekano wa nje ukawa tofauti. mfano SZ engine utaikuta kwenye funcargo na vitz new. Lakini zikiwekwa pale mbele uchague mojawapo. naimani wengi tutakimbilia kwa vitz new sababu ya muonekano wake.
 
Back
Top Bottom