Jinsi wakaazi wa Dunia wanavyotumikishwa na kutawaliwa bila kufahamu. (Hiii ni watu wote, Tajiri mpaka masikini mweupe mpaka mweusi, msomi asiyemsomi

Joan lewis

JF-Expert Member
Jan 3, 2019
618
929
Kufuatia Hali na mambo yalivyo ni Dhahiri kwamba sasa tutakubaliana kwamba kuna watu wachache mno wanacontrol Dunia nzima kwenye aspects zote ikiwemo za maisha. Na lengo sio kupata pesa ila ni kuwafanya watu wasiwe huru bali wawe watumwa ili wasimfikirie Muumba wao.

So wana vitendea kazi ama Task forces ambazo ni wanasiasa, Vyombo vya Habari vya Dunia, wataalamu wa Afya, Majeshi, Na viongozi wa Dini.

So kuna levels za utendaji, na zimekaa kama pyramis. Wale wa juu ndio hujua siri zote. Ila hawa Workers na wakuu wa idara mbalimbali wengi hawajui.

Na ili upate cheo ni mpka wahakikishe hutaharibu wala kuvuruga mipango yao. Na hii mikakati ni ya Mamia ya miaka. Nyuma ya hapa tulipo na mbeleni.

So pamoja na vikao, makongamano, sera, mijadala, mikutano, semina na warsha mbalimbali Nakuhakiikishia hakuna siku Dunia itakuwa mahali salama na njema kama paradiso.

Utulivu unamaanisha watu kujielewa na kumwelekea aliyewaumba kitu ambacho ni Tusi la nguoni kwa hao miungu watu na mabosi wao.

Tafakarini sana juu ya hayo.
 
Huyo muumba ndio mwenye makosa kwa kushindwa kuumba binadamu watakao mfikiria na kumwelekea siku zote.

Kazi ya uumbaji ya huyo muumba ina dosari na kasoro kwa kuruhusu watu wachache waweze kuwafanya watu wengine wasimfikirie muumba.

Kwa hiyo kama muumbaji huyo yupo, yeye ndiye mwenye makosa kwa kushindwa kuumba Dunia yenye ukamilifu na utulivu wa kila kitu.
 
HahahNdo maisha, na siku binadam wakiwa huru basi jua mwisho wa dunia utakuwa umefika itabidi iwe restored to default, inaanza upya ulimbombo na ulindi
Hahah mkuu umeamua kuweka na transilation kabisa kwa msisitizo zaidi. Ila ukiyajua hayo atleast unakuwa na afueni huumii wala kushituka wala kushangazwa na Hizo Shida na Maafa ya makusudi yanayopangwa. Utakuwa free.
 
Huyo muumba ndio mwenye makosa kwa kushindwa kuumba binadamu watakao mfikiria na kumwelekea siku zote.

Kazi ya uumbaji ya huyo muumba ina dosari na kasoro kwa kuruhusu watu wachache waweze kuwafanya watu wengine wasimfikirie muumba.

Kwa hiyo kama muumbaji huyo yupo, yeye ndiye mwenye makosa kwa kushindwa kuumba Dunia yenye ukamilifu na utulivu wa kila kitu.
Yaan hujui kwamba yeye hashindani na aliowaumba. Maana Yuko juu zaidi kuliko chochote yeyote na vyote. Ila Ana kanuni zake kufuatana na wakati na majira sahihi. Hiyo ndio inamfanya kukaa kimya.
Ila alikusudia kila kiti kiwe hapa hapa na hajabadili uamuzi. Mambo ya kuwaambia maamuma kwamba watanyakuliwa wapae mawinguni ni sehemu ya mikakati ya hao watawala. Waliowahi kulewaletea hizo dini.
 
Sio kweli mkuu hii Dunia sio sehemu salama omba Mungu tu Tz iwe na amani mpaka kiama ila siku kikawaka ndo utajua binadamu ni mnyama kama wanyama wengine.......

Sudan,Congo,somalia hawa wanaish maisha magumu sana inch hazina amani fujo mtindo mmoja........
 
Umeyajuaje haya yote, au na wewe uko kwenye hao wachache?
Kila ufalme na Utawala una kikomo chake ukiona yamegundulika jua hiyo era ya hao miungu watu imepita.
Mfano baada ya Iddi Amin kukimbia ndio siri na mambo yake mengi yaligundulika same to Other Rullers. Sasa na kama haya ya hao yamejulikana jua kuna Enzi nyingine imeingia.
Huenda wale waliotabiri mwisho wa dunia ni 2000 waliona hilo lakin walidhani Maparapanda na makombora yangelia toka mawinguni. Kumbe ni Smooth Change in Kingdom. 😃
 
FANYENI KAZI

Sio kweli mkuu hii Dunia sio sehemu salama omba Mungu tu Tz iwe na amani mpaka kiama ila siku kikawaka ndo utajua binadamu ni mnyama kama wanyama wengine.......

Sudan,Congo,somalia hawa wanaish maisha magumu sana inch hazina amani fujo mtindo mmoja........
Sawa mkuu ilà huyo muumba anasababu na amani ya Tz hii. Sio utashi wa yeyote wala sio kwamba wa Tz ni waoga kama mbwa koko no. Ipo siku utajua kwanini Tanzania ina resources nyingi na tofauti kuliko Congo sudan nk. Ila hakuna vita wala waasi hata wanapofarakanishwa pia jiulize kwanini illuminati walipoingia Tanzania Bara Lodge yao ya kwanza waliita Heaven of Peace. Miaka hiyo ya 1800 mwishon mpk 1900 mwanzoni. Wenzio waliona. Na walijua. Hapa hakuna Kumwagika damu.
 
Yaan hujui kwamba yeye hashindani na aliowaumba.
Wewe ulijuaje na unathibitishaje Mungu huyo yupo na alituumba?

Kwa nini unadhani tuliumbwa?
Maana Yuko juu zaidi kuliko chochote yeyote na vyote.
Ulijuaje na unathibitishaje?

Au ulisimuliwa tu kama zile stori za hawafu mwenye nguvu.
Ila Ana kanuni zake kufuatana na wakati na majira sahihi. Hiyo ndio inamfanya kukaa kimya.
Ila alikusudia kila kiti kiwe hapa hapa na hajabadili uamuzi. Mambo ya kuwaambia maamuma kwamba watanyakuliwa wapae mawinguni ni sehemu ya mikakati ya hao watawala. Waliowahi kulewaletea hizo dini.
Kama muumba huyo yupo na ulimwengu huu yeye ndiye Muumbaji, Basi kazi yake ya uumbaji ina dosari na kasoro kwa kuruhusu mabaya na uovu uwepo ilhali uwezo wa kuumba dunia isiyo na mabaya alikuwa nao.

Mungu huyo sio mkamilifu na kazi yake ya uumbaji ina weaknesses.
 
Yaan hujui kwamba yeye hashindani na aliowaumba. Maana Yuko juu zaidi kuliko chochote yeyote na vyote. Ila Ana kanuni zake kufuatana na wakati na majira sahihi. Hiyo ndio inamfanya kukaa kimya.
Ila alikusudia kila kiti kiwe hapa hapa na hajabadili uamuzi. Mambo ya kuwaambia maamuma kwamba watanyakuliwa wapae mawinguni ni sehemu ya mikakati ya hao watawala. Waliowahi kulewaletea hizo dini.
kwa hiyo mamilion ya watoto wanaoteseka na kansa na ukimwi amekaa tu kimya kisa anamakanunu ,afu ni mwema
 
Kufuatia Hali na mambo yalivyo ni Dhahiri kwamba sasa tutakubaliana kwamba kuna watu wachache mno wanacontrol Dunia nzima kwenye aspects zote ikiwemo za maisha. Na lengo sio kupata pesa ila ni kuwafanya watu wasiwe huru bali wawe watumwa ili wasimfikirie Muumba wao.

So wana vitendea kazi ama Task forces ambazo ni wanasiasa, Vyombo vya Habari vya Dunia, wataalamu wa Afya, Majeshi, Na viongozi wa Dini.

So kuna levels za utendaji, na zimekaa kama pyramis. Wale wa juu ndio hujua siri zote. Ila hawa Workers na wakuu wa idara mbalimbali wengi hawajui.

Na ili upate cheo ni mpka wahakikishe hutaharibu wala kuvuruga mipango yao. Na hii mikakati ni ya Mamia ya miaka. Nyuma ya hapa tulipo na mbeleni.

So pamoja na vikao, makongamano, sera, mijadala, mikutano, semina na warsha mbalimbali Nakuhakiikishia hakuna siku Dunia itakuwa mahali salama na njema kama paradiso.

Utulivu unamaanisha watu kujielewa na kumwelekea aliyewaumba kitu ambacho ni Tusi la nguoni kwa hao miungu watu na mabosi wao.

Tafakarini sana juu ya hayo.
Mbona huwa mna mdogosha sana huyo Mungu wenu?
 
Back
Top Bottom