Kama mwanachama mwenzako(popo)Unanieleza kama nani?
Japo ni salamaHatari sana
Njoo tukesheUnanieleza kama nani?
Kwema upo mrembo ?Wanalindo kwema?
Nipo za masikuKwema upo mrembo ?
Pole Sana mkuu..Kama nakuona ulivyomiminikwa jasho?Nimetoka kwenye send off muda huu,huko tumenyweshwa vinywaji vya juisi na soda tu.....badala ya kutupatia vitu vichungu.Najuta kutoa mchango wangu.
we acha tu,nashangaa nafika mlangoni nakabiziwa mfuko uliojaa juisi,na soda na maji....nimeshindwa kumaliza imebidi nilete tu hapa nyumbaniPole Sana mkuu..Kama nakuona ulivyomiminikwa jasho?
Salama,aisee umenitenga sana bibie.Nipo za masiku
ohhhLindo limenishinda hili. Nakwenda kuutandika usingizi. Barikiweni
View attachment 1187985
ALWAYSMungu ni mwema
Alright listen up!
Halahala wale wanaoingiza hizi vocha.
Ukikuta vocha barabarani, au ukitumiwa vocha na usiyemjua, unashauriwa usiingize kwenye simu yako.
Likitokea tukio kubwa la kiuhalifu, polisi huwa wanachukua vitu vingi kama vielelezo. Vocha zilizotumika zikiwemo, hasa kama kuna uwezekano vocha hiyo ikawa connected na kesi (mfano shuhuda aliona mhalifu akiingiza vocha na kupiga simu)
Polisi wataenda kwa mtandap husika ili uwape namba ya simu iliyoingiza vocha hiyo. Namba hiyo itakuwa namba ya simu ya mshukiwa wa tukio.
Usiombe ikawa namba yako ya simu.