Sema mzee amsha wako wajeKwema humu jamani, mida si ndio hii...
Baba kegan ni nani?Leo nipo sana humu! Kama kuna MTU ana swali Aulize tuu!
We mzee mchungaji upo kwenye mkesha wa maombi... Usinisahau kwenye maombi... Mkeo anaota wabunge lakiniMvumilivu hula mbivu
Mbivu umeshazilaMvumilivu hula mbivu
Nami nawaota mawaziri...We mzee mchungaji upo kwenye mkesha wa maombi... Usinisahau kwenye maombi... Mkeo anaota wabunge lakini
Mkuu ni wanga wamenijia ndotoni nikastuka usingiziniUlipotelea humuhumu, huwa unajificha ikifika mchana!
Swali nyanya hiloMbona mmeanza na maswali magumu ntaanza kusinzia sasa!
Sio baba keganNami nawaota mawaziri...
Mbona siku haziendi ?
VipiAise
Vipi
Sema mji mzee babaNawapa mji basi..