JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

Sipati picha hapa amu ashakolezwa na Govinda Kumar.... Hajui be wala che ni kusasambua kwa kwenda mbele!!!!


Gracie-Carvalho-Calzedonia-Beachwear-2012-1-940x1293.jpg
[/QUOT
hahahahahahahaha amu ina maana...........
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa taarifa broo ila kwenyevinywaji naona umewatenga wasiotumia kilevi, wanywa maji na juice inakuweje? Halafu kuponi inamruhusu mtu kunywa bia 4, zikiisha anaruhusiwa kujinunulia?
Good work mmejitolea na mmejitahidi sana hongereni. Nikipata ratiba ya party itaanza saa ngapi basi nami ntalipiamo niwemo walau nigonge cheers ya mwaka mpya na wadau wa jf.
Will appreciate much ukinijibu maswali hayo. Najua pia wako wengi wenye kuhitaji information hii.

Wasiotumia vileo wataconvert hizo bia to maji/soda...

Shaka ondoka bidada!!!
 
nimeshatuma mchango wangu hivi punde shilingi 33,000 na jina litakalojitokeza kwenye simu ya m-pesa ni salha abdulwaheed..

Naomba confirmation please kwa mkusanya michango

Zinduna.
 
Last edited by a moderator:
Mtuletee Mapichapicha.......Ningependa kuwajua pia ila hili tumbo ni Excuse Tosha.....
 
Back
Top Bottom