Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,252
- 11,649
Sio lazima utumie real names labda kama mshafahamiana kitambo.Unam PM tu kuwa nataka kukulipia.So miss chaga atajua Tclevery kanilipia.
Kwani mtu akijulikana ndo anakuwaje??
Akiona vipi baada ya party anafungua ID nyingine....
Hii ndo JF bwana......
Mie lazima nije na timu ya wajukuu zangu!!
Babu DC!!