JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

Sipati picha hapa amu ashakolezwa na Govinda Kumar.... Hajui be wala che ni kusasambua kwa kwenda mbele!!!!


Gracie-Carvalho-Calzedonia-Beachwear-2012-1-940x1293.jpg

hahaha! Hatareee! Asipaone babu Asprin
 
Last edited by a moderator:
Tahadhari... Najua wanaume wengi humu mna hamu sana ya kumuona lara moko....

Kanitonya kuwa atakuwa na mbwa mkali sana kwa ajili ya ulinzi...

Hamkawii kuwa chakula chake ohooooo!!!!!

beachwear.jpg

ha ha dah mi nataka sana kumuona lara.cjui itakuwaje
 
Hahah!!! badiebey tayari kashajikamatisha kwa Stunna ataishia kuntazama na kuchat nami kidogo tu...

he he badiebey akikuona lazima afaint mi sisemi bwana nsije nkakujazia pm afu wakakubook mapema nikose wa kushea nae juice akuuu
 
Last edited by a moderator:
ahsante mwaya last time wakina Filipo na Arushaone wakatuuza ila nshatoka mwanza npo jirani na hapo he he tutaonana tu kipindi npo mwanza i was very busy yaani

Usijali chipenzi... Yaan nina hasira nao acha kabisa. Nikikutana na mmoja wao kwenye Party lazima atalipa aiseeee....

Poa poa... Ukija jijini tuonane tasaval!!!!
 
Last edited by a moderator:
Naweza kusema kuwa ni WANAFIKI WAKUBWA (Pardon my CANDIDNESS and my lack for sense of humor) But these guys are either 100% FAKEROOOOOOOOOOOOOOO! Or they dont live up to their reputations. Ndo yale yale ya EASIER SAID THAN DONE!!!!!!!!!!!! Maneno mengi jamvini wakati kujitokeza live HUDHUBUTUUUUUUU!!!!!!!!!!

Kweli to me it is so DISAPPOINTING watu wamepewa RELEVANCE na wenzao, and wampewa status ya ku MATTER humu jamvini, watu wanakuja, wanakukubali hivo yani, then i dont know if they are TOO ASHAMED or WHATEVER ila mtu ukipewa NAFASI, UMUHIMU na UMAANA conduct yourself in that way!

Watu wamecommit mda, resources, and shit to make things happen, afu unashindwa kushow a little appreciation, little humor kwa kusupport by just kushiriki tu, kila kitu umeendaliwa, uje ule tu na kunywa bado unleta MASHAUZI! KWENDRAAAAAAAAA!!!!!!!!!!!

Afu humu unajikosha kosha NAKUJA! NITALIPA! BLAH! BLAH! Na kujifanya unatujua sanaaaa wenzio wakati umetutosa kwenye party SI UNAFIKI HUO????????

Nisongee sanaaa ila IM ALLERGIC na watu wenye VI ATTITUDE vya ajabu ajabu! Watu wameandaa kitu, SHOW SUPPORT, SHOW SOME LOVE! Ndo watu TUISHIVO! Shughuli ni watu na MTU NI WEWE (Cha unafiki). Party huji kesho kaka matambuz, kaka mtambuzi wakati party yake uliipotezea! Puuuuuuuuu!

To be more FRANK watu wengine ni SHMUCKS/ PARTY PUPPERS/ ANTI SOCIAL so its westage of time kuwaconsider! Otherwise kama unajiconsider social and you are not planning to attend YOU SHOULD REALLY BE ASHAMED OF YOUR SELF!!!!!!

Mimi last year nilialikwa, i showe support nikahudhuria, this year nilivoambiw ITS ON, sikutaka kuoverstay their welcome and take advantage of the situation kila siku niandaliwe kila kitu, out of my own generocity nikavolunte if i can be of any service kusaidia saidia kuandaaa! (Najuuuta! kaka Mtambuzi ananitumaje sasa! lol!) Ndo watu wanavoishi kwenye jamiii kiungwana!

Nami naruhusiwa kujumuika
 
BTW wewe babu enzi za mwalimu... Lala tu, tutakupa updates hapahapa Jukwaani.... Hahahhaahaaa!!!!!!


Hata hizo update naomba msinipe....labda wajukuu watachambua cha kunisimulia endapo watarudi salama...lol!!

Babu DC!!
 
ahsante mwaya last time wakina Filipo na Arushaone wakatuuza ila nshatoka mwanza npo jirani na hapo he he tutaonana tu kipindi npo mwanza i was very busy yaani

Yaani umekuja halafu hujanitafuta.......

Utanitambua ......!!!!!!!!!
 
Hahah!!

Kwani ukitongozwa lazima ukubali bi mkubwa...

hakuna ulazima! Si unajua tena mara oh umependeza,unafanana na dadangu! Story full Khaa! Ebu nitafutie a lady miye 2jimuvuzishe zetu beach!
 
Back
Top Bottom