JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

JF PARTY 25th JAN Exlusive Interview with lara 1...

Acha kabisa....

Hapa TCleverly kalewa hajitambui masikibi lols!!!! Chezeiya Govinda Kumar weweeee........

okun1_12_.jpg

hahaha! Hajachanganya na viloba kweli huyu.nadhani kutakuwa na first aid kwa wagonjwa kama hawa.
 
Last edited by a moderator:
Nimeshatuma mchango wangu hivi punde shilingi 33,000 na jina litakalojitokeza kwenye simu ya M-Pesa ni Salha Abdulwaheed..

Naomba confirmation please kwa mkusanya michango

Hebu nilipie bana huku Misungwi hakuna network ya mtandao wowote ule
Nikija na ungo nakulipa ........

Halafu tutarudi wote huku shambani
Au sio?
 
wakati nakuja wewe ulikuwa gombe bana.Kumbuka

Hujui kuwa nilirudi siku hiyo hiyo??

Tena nilienda na baiskeli yangu

Najua tu unajidai kunibania

Hebu acha utani aisee
Au hutamani wewe ????
 
Mhhhhhhhhhh! badiebey! Usije tu kujikuta unatoa ofa ya PROMOTION pasipo kukusudia! Mwenyewe nilikodoa mijicho kama mjusi kabanwa na mlango! Hahahaaa! 6 PACKS Wazijua wewe bibie? Mi simooooo!

yalaaah,na six packs juu,sijui ndo mhusikaa watu8...mana ana mwili wa mazoezi ,japo sijawahi muona bare chested nithaminishe km zipo kweli...
Ha ha ofa ya promo hakuna atii,namba zenyewe had nimpe mtu mbindee
 
Last edited by a moderator:
hakuna ulazima! Si unajua tena mara oh umependeza,unafanana na dadangu! Story full Khaa! Ebu nitafutie a lady miye 2jimuvuzishe zetu beach!

Basi ungejuwa hata hao malady wanaweza kutumika kama kuwadi...loh!!

So either way mwanaume ana mbinu nyingi bi mkubwa muhimu ujue wataka nini..
 
kiota gani tena mbona umeniacha fire

Namaanisha kiota cha Escape 1 bi mkubwa, maana nyakati za jioni huwa kuna mwanga hafifu kidogo.

Kiota ni rejesta ya mtaani ikimaanisha sehemu ya kushereheka..
 
Karibu bi mkubwa, hahah tusiandike mengi sana hapa!!!

yalaaah,na six packs juu,sijui ndo mhusikaa watu8...mana ana mwili wa mazoezi ,japo sijawahi muona bare chested nithaminishe km zipo kweli...
Ha ha ofa ya promo hakuna atii,namba zenyewe had nimpe mtu mbindee
 
Last edited by a moderator:
Namaanisha kiota cha Escape 1 bi mkubwa, maana nyakati za jioni huwa kuna mwanga hafifu kidogo.

Kiota ni rejesta ya mtaani ikimaanisha sehemu ya kushereheka..

ahaaaaaaaaas hapo sawa itabidi hiyo siku uwe around me unipe somo jinsi ya kutumia fursa
.
halafu watu8 mambo ya kuitana bi mkubwa tunazeeeshana bwana hiyo inatumika kwa watu wa 40+
me niite bidada sawa eeeeeeh
 
ahaaaaaaaaas hapo sawa itabidi hiyo siku uwe around me unipe somo jinsi ya kutumia fursa
.
halafu watu8 mambo ya kuitana bi mkubwa tunazeeeshana bwana hiyo inatumika kwa watu wa 40+
me niite bidada sawa eeeeeeh

Hahah nitakuwepo sio tu around bali hata zero distance ukitaka...

Sorry nimekulia pwani miye na nimelizoea hilo neno na hulitumia kwa mwanamke rika lolote ila kwako weye nitakuita bidada usijali...

Cheers!!
 
Basi ungejuwa hata hao malady wanaweza kutumika kama kuwadi...loh!!

So either way mwanaume ana mbinu nyingi bi mkubwa muhimu ujue wataka nini..

aisee! Kuuumbe! Basi wacha nitokelezee kivyangu! Mweh! Btw-2naruhusiwa kuogelea huko?
 
Hahah nitakuwepo sio tu around bali hata zero distance ukitaka...

Sorry nimekulia pwani miye na nimelizoea hilo neno na hulitumia kwa mwanamke rika lolote ila kwako weye nitakuita bidada usijali...

Cheers!!

mambo ya ziro distance na wifi atakuwa wapi???????
 
Habari zenu, mie nataka kujua party itaanza saa ngapi maana siku hiyo nina shuhuli kyanzia saa 4 usiku na siwezi kuimiss sasa kama jf party itaanza mapena nutaanzia huko kusha ikifika saa 3.30 niende kwente hiyo shuhulu ingine.
Pia mtu akilipa elf 30 anapata nini kama huduma? Namaanisha vinywaji aina gani na kiasi gani na chakula km kipo au ni bites. Au hiyo hela ni kiingiluo tuu ukifuka ndani unajinunulua vinywaji na chakula au mtindo wa kuponi unahusika? Nauliza hivi ili nijiandae nije na full wallet au nitakuta kanyela mumo yaani kila kitu ntapewa huko ndani tu my level ya satisfaction au kuna limit?
Samahani maana mwka jana sikuwepo hivo najitahidi nisimiss this year.


Ngoja management wakujibu naona
Swali lako hawajaliona!!!!!.........
 
Back
Top Bottom