Kwani hilo ni jina jipya?
Kwa umri wangu huu wote na uzoefu wangu na maeneo yote ya Ng'wanza (Mwanza), hapa sikia hilo jinal...
Labda kama kuna watu wameamua kuvipa hivyo visamaki promo..
Babu DC!!
Asante mwaya......hiyo Malaika hiyo nataka niione.......nimeisikia sana.........
mumeo c6 unamsahau
Well,
Kama Preta alivyotoa introduction hapo, ni kwamba jana 02.11.2013 tulikaa kama Kamati Ya Matumizi na kupanga hilo ishu.
Wana Chuga kawaida ni watu wa BIG RESULTS NOW, na huwa hatucheleweshi Upelelezi.
Kama kawa Intelijensia yetu imesoma kwamba MZA panalipa, kwahiyo wanabodi wakakubaliana kwamba tusababishe MAJANGA pande za Rock City!...kwani nini bana!!
Haya wana Mwanza, andaeni Mapanki ya kutosha...Mabillionea wa Mererani a.k.a 'Manyoka' a.k.a Machalii wa Manta wanazuka mtaani kwenu.
Kawekamo mpooo?
Njooni niwapeleke UKEREWE kuna historia ya kutosha tu zitakazowakonga nyoyo
Mkuu yaani hizi mishemishe za Mwanza nilikuwa nije Tanga mwezi 12 tar 2 .... mchana niwe nashinda pale tulipokutana afu jioni huyooooooo Mwambani.
Ila kwa huu ugeni safari ya Tanga ntaisogeza mbele.
Hivi lile jiwe bado linaongea??