Bm_boy
JF-Expert Member
- Oct 21, 2013
- 547
- 348
Bia thio tatizo Babu, Tatizo watoto wakishua Hii nitawaachia wadhee wa wamujini labuda nitafute mfadhili..
Bia thio tatizo Babu, Tatizo watoto wakishua Hii nitawaachia wadhee wa wamujini labuda nitafute mfadhili..
Nimuulize nani tena, si uniambie wewe Lily Flower.
Msalimie Preta, mwambie safari hii haponi, labda akimbie
Cant wait jamani lol.....mwanza tour ki kwetu kwetu na watu wa nguvu wa JF
aiseeeeee!!bata batani
halafu preta weka update mara kwa mara watu wanaoenda ili tufanyiane booking mapema! yasijekutokea ya tanga tunamgombania mtu mmoja cc@Arushaone
Mimi na paw ndani ya nyumba. Naona tutakuja na private jet. Fast jet wamekuwa wasumbufu kwa upande wa mizigo. Keep us abreast mamma sittah!
kuna watu wana vipaji maalum vya kukaba bwana loh..Ha ha ha....
kuna watu wana vipaji maalum vya kukaba bwana loh..
ahahaaaa mi sina bwanaKwani wewe huna hicho kipaji heheh...
Nakumbuka hata mwaka jana uliandika hivi hivi...ila hapo pa private jet ulitumia helicopter...
karibuni sana MWANZA
nimeitika, nitakuwepo iyo tarehe.
Hahahaaaaa....... Babuuuu, hiyo ni aina ya samaki, kama hiko kimoja kilivyo kitamu ndivyo vilivyo vitamu hivyo visamaki....
Ukivionja hakika hutokaa uisahau Mwanza.....
Duh.... wa kwetu kumbe nawe uko Mwanza eeh....!
Nitakuambia secretly
Hayo maneno matisho kwa Preta tutakusachi kabla ya kuingia garini yasije yakatupata ya Ufoo.
ahahaaaa mi sina bwana