JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

J'MOSI 23 Feb Kutakuwa na kikao cha dharura pale 'LEO TUPO HAPA PUB' Kwa Mjeda kuanzia saa 12 jioni..Nadhani tutakuwa na muda mzuri wa kujadili yatarajiwayo.... Wadau wa White Party na wale watakaopenda kuhudhuria wanakaribishwa.... Kwa watakaoaka kuhudhuria PM zielekezwe kwa Madame B, Paloma na amu

Copy: cacico, gfsonwin, amu, kipaji halisi, Jiwe Linaloishi,
Kaizer, Jeska, Asprin, Madame B, watu8, Mulama, Bujibuji, Zion Daughter, Remmy, snowhite, Paloma ...............



This time nitajitahidi nifike.
 
Last edited by a moderator:
aiseee nimepata pm kama mia hivi.................nimekataa katakata hata kuwa hakuna kitu kama hicho....kwamba ni udaku...............kumbe maglass yangu yamenilead vibaya nilikuwa sijaona!!!

i must go back to them with the correct message now...............uuurrgggggggrrrrrrrhhh
Paloma, tena waambie kwenye stock tayari kuna Contesa Gin, Contensa Rum, Captain Morgan, Strawberry Lips, Govinder Kumar Brandy, Tequila, Grants Whisky, Bailey Liquor na Jack Daniel Whisky bila kusahau Dompo na Nederberg Carbinet Sauvignon na Vina San Pedro 35 Sar......
 
Last edited by a moderator:
Paloma, tena waambie kwenye stock tayari kuna Contesa Gin, Contensa Rum, Captain Morgan, Strawberry Lips, Govinder Kumar Brandy, Tequila, Grants Whisky, Bailey Liquor na Jack Daniel Whisky bila kusahau Dompo na Nederberg Carbinet Sauvignon na Vina San Pedro 35 Sar......

Jamaaaani......mi nataka na mbege, ulanzi, rubisi na ya kwetu mnazi ziwepo jamani! TUDUMISHE MILA NA UTAMADUNI WETUUUUUUUUU
 
J'MOSI 23 Feb Kutakuwa na kikao cha dharura pale 'LEO TUPO HAPA PUB' Kwa Mjeda kuanzia saa 12 jioni..Nadhani tutakuwa na muda mzuri wa kujadili yatarajiwayo.... Wadau wa White Party na wale watakaopenda kuhudhuria wanakaribishwa.... Kwa watakaoaka kuhudhuria PM zielekezwe kwa Madame B, Paloma na amu

Copy: cacico, gfsonwin, amu, kipaji halisi, Jiwe Linaloishi, Kaizer, Jeska, Asprin, Madame B, watu8, Mulama, Bujibuji, Zion Daughter, Remmy, snowhite, Paloma ...............

mkuu nashukuru sana naomba udhuru sitaweza kuwepo kimwili ila ntashiriki kupitia digitali
 
Rafiki FP haya ndio matokeo ya kuwadharau walimu. Walimu walilalamika kiungwana kudai mishahara na marupurupu kuongezwa ili waweze kukidhi gharama kubwa za maisha zinazopanda kila kukicha. Serikali DHAIFU ikadharau maombi ya Walimu na hata kuwatishia kuwafukuza kazi. Walimu wakaamua kufanya mgomo baridi kwa kutofanya kazi zao kwa ufanisi na haya matokeo tuliyaona ndio yamesababishwa na huo mgomo baridi wa Walimu

Hii Serikali DHAIFU kama haikuwa makini kukaa chini na Walimu haraka ili kusikiliza maombi yao na kuyatekeleza haraka iwezekanavyo basi matokeo ya O'level 2013 yatasababisha kilio cha kusaga meno maana percentage ya failures inaweza kabisa kuwa more than 85%.


hii imenitoa sana machozi siku ya jana.......
nikawaza enzi zile wakati tunasoma shule za serikali na tunapata one......
siku hizi shule hizo hizo ndo zinaongoza kwa 4 na 0
hapa lazima kuwe na maamuzi magumu, otherwise hali itakuwa zaidi ya kuuawa mapadre
hao laki ngapi woote unafikiria watafanya nini zaidi ya kusubiri kusikiliza wapi wanaandamana kudai gesi isisafirishwe nao wakajiunge?
na mwakani.... na mwaka kesho kutwa......
 
Last edited by a moderator:
Jamaaaani......mi nataka na mbege, ulanzi, rubisi na ya kwetu mnazi ziwepo jamani! TUDUMISHE MILA NA UTAMADUNI WETUUUUUUUUU

Bila kusahau Manguree...... Mulize Dena Amsi atakwambia unaweza kuiagiza toka wapi....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom