JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

Ya kweli hayo kweli??

Hiyo ruhusa babu hawezi kutoa aisee...

Mazazi gani anaweza kukubali watoto/wakujukuu zake watunwe tafunwe hovyo kama karanga??

Babu DC!!

Asa Babu unatakaje?
Basi tutafutie wewe.
Juzi Kongosho kaleta mchumba umemkataa,
na leo unasema utatunyima ruhusa.
 
Last edited by a moderator:
..inabidi tuonane tukiwa na ajenda mkononi...yale ya kukutana huku dompoo na contesa ziko mezani...tupunguze japo kwa masaa watu waongee..kisha ndio dompoo zianze. Madame B

Hahaha... kipaji halisi bhana.
Eti ajenda kwanza,Dompo baadae.
Unafikiri Kikao bila Dompo kitafanyika?
Wengine Hatuwezi Songesha Jumuiya bila stata damuni.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
wote mnaomsema ODM malabuku zenu! hebu niachieni mume wangu Asprin na mkome kabisaaaaa kumnyanyapaa, eti anakula wake za watu, hao wake za watu vipofu au mnajitoa ufahamu??

Hapa Asprin kapata mke, cacico huna mdogo wako au hata dada yako tufanye upembuzi yakinifu kwa ajili ya mpangomkakati wa kikosi kazi, nimehamia digitali siku hizi kwa hiyo Mama v ataniruhusu:A S shade:
 
Last edited by a moderator:
wote mnaomsema ODM malabuku zenu! hebu niachieni mume wangu Asprin na mkome kabisaaaaa kumnyanyapaa, eti anakula wake za watu, hao wake za watu vipofu au mnajitoa ufahamu??

We nawe acha zengwe.
Kwa mume gani asiyejaa mkononi akajaa!
Asiyeenda kwa dobi akatakata?
Tupishe sie na Ashuo lako la Kwapa,kunuka bila kidonda.
Kama Unaweza mtie kamba mumeo umzuie,ingali yuko free mtaani...wapiiiiii!!
Tutabanana nawe sambamba shosti.

Ukimuona kobe mtini, jua kapandishwa.
 
Last edited by a moderator:
hii nilikuwa sijui Baba V hivi dokezo lake uliliandika kweli mbona halijafika mezani likiambatana na mapngo kazi na viashiria vya utekelezaji?

Huyu mtoto nilimjibu sort cut akataka kunywa sumu kwa hiyo namfarijifariji kimtindo japo kwa maneno, asijeniachia kesi kwa platozoom (Nakunong'oneza "ukishasoma hii futa asije akaiona):gossip:
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom