gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
wana CC haya tena happy new kwa mara nyingine tena mabestito.
sasa kama isemavyo hapo juu, napenda kuwakumbushia kwamba last time tulipokutana LEO TUPO HAPA PUB tulikubaliana kwamba tutaukaribisha mwaka pamoja hapa Dar kama sehem ya kuendeleza undugu na umoja wetu.
sasa nafikiri Jan ndo hii, na hivyo tunahitaj kujipanga ili kufanikisha hii party. sasa hapa nakaribisha michango ya mawazo yenu juu ya kaufanikisha jambo hili.
yufuatayo ni mawazo ya serikali ya kichwa changu juu ya hii party sasa naomba tujadiliane vyema ili kuona tuaipanga vipi.
1)nafikiri kila memba atoe mchango wake ili siku hiyo aweze kula na kunywa huku tukkiserebuka. niliwaza hivi kama kila memba atakaye confirm kushiriki akitoa 20000/= basi aweze kupata sahan ya menu na vinywaji at least 2 local beers. hapa naomba msaidie mawazo nimetengeneza tu plat form.
2)Tutafute venue ambayo tutacheza na kajimziki kidogo huku tukiendelea kufuraia mwaka na kazi ya kutafuta venue hapa nitawaachia Asprin na KakaKiiza wao ni wazee wa mji zaidi.
3) tarehe ya makutano yetu iwe ni tarehe 19/01 wazo tu ila kwa anayetaka kupropose tofauti unakaribishwa.
4) kwa watakao confirm kushiriki basi kuna added task watakayopewa kuifanya kwa mwaka mzima kwajili ya wana jf wenzao na hii ni strictly kwamba baada ya mwaka watatakiwa kurudisha amana. ( hapa nisifunguke zaid manake snowhite kasema iwe ni suprise)
5) kwakua ni mwaka mwingine basi tungeweza pia kukaribisha memba wa wing nyingine kujumuika na sisi ila huyu yeye atakuja na nauli yake na mahal pa kulala ila kula na kunywa sisi tutampatia.
Haya mm nimetoa mawazo haya naoamba wengine mchangie ili kuweza kufanikisha siku hiyo.
CC Asprin, KakaKiiza, Madame B, cacico, Mtambuzi, watu8, fidel180, amu, Ruttashobolwa, Jiwe Linaloishi, Zion Daughter, Paloma, snowhite, Bishanga, Superman, KakaKiiza, Smile, Mentor, Mbimbinho, Billie, manoah, Prisoner 46664, lara 1 Ciello Thanda, Thando, Mwita Maranya ET AL
NB; uvaaji utakuwa ni wa nguo nyeupe kuonyesha furaha na umoja wetu.
Up dates:
aya hii hapa ndio kamati yenyewe kwaajili ya maandalizi
logistics gfsonwin na mwaJ
uhazini Mtambuzi
event planning and mgnt lara 1 na gfsonwin
menu cacico na snowhite
venue KakaKiiza na Asprin Madame B
vinjwaji Watu 8, figganigga na Madame B
Madame B kawa maeneo mawili nyeti kwajili ya ushapu wake na kujitolea kwake
event planning and managent!!!!!!
Date Jumamosi 26/01/2013 kuanzia saa 12 jioni ya kizungu sio mje saa 3.
Venue hapo mtaisema
Decorations theme iwe: White cocktail!!!!!
Siitting arrangement: Its a cocktail party hamna viti kama harusini ni kusimama na kusocialize mwanzo mwsho!
Dj: Ninae ila sijui kama hela itatosha!!!!!!
Decor: Wapambaji jf mjitolee mjitangazie business
Menu: Snacks na bites
Drinks: Kila mtu aje na zake manake 20 ni kuonja bia tu! Au nichukue tenda ya kuuza pale nje nini?
Entertainment : Bado nafanyia kazi kuhakikisha shughuli haiboi!
Ratiba: Iko jikoni!
Mgeni rasmi: gfsonwin fanya makarateka hapo!!!!!!
Bdo najipanga!!!!!!!! MAMBO MAKUBWA NDO TRADE MARK YANGU!!!!!!!!!! (Japo 20 ya kuchanga bado sijapata)
sasa kama isemavyo hapo juu, napenda kuwakumbushia kwamba last time tulipokutana LEO TUPO HAPA PUB tulikubaliana kwamba tutaukaribisha mwaka pamoja hapa Dar kama sehem ya kuendeleza undugu na umoja wetu.
sasa nafikiri Jan ndo hii, na hivyo tunahitaj kujipanga ili kufanikisha hii party. sasa hapa nakaribisha michango ya mawazo yenu juu ya kaufanikisha jambo hili.
yufuatayo ni mawazo ya serikali ya kichwa changu juu ya hii party sasa naomba tujadiliane vyema ili kuona tuaipanga vipi.
1)nafikiri kila memba atoe mchango wake ili siku hiyo aweze kula na kunywa huku tukkiserebuka. niliwaza hivi kama kila memba atakaye confirm kushiriki akitoa 20000/= basi aweze kupata sahan ya menu na vinywaji at least 2 local beers. hapa naomba msaidie mawazo nimetengeneza tu plat form.
2)Tutafute venue ambayo tutacheza na kajimziki kidogo huku tukiendelea kufuraia mwaka na kazi ya kutafuta venue hapa nitawaachia Asprin na KakaKiiza wao ni wazee wa mji zaidi.
3) tarehe ya makutano yetu iwe ni tarehe 19/01 wazo tu ila kwa anayetaka kupropose tofauti unakaribishwa.
4) kwa watakao confirm kushiriki basi kuna added task watakayopewa kuifanya kwa mwaka mzima kwajili ya wana jf wenzao na hii ni strictly kwamba baada ya mwaka watatakiwa kurudisha amana. ( hapa nisifunguke zaid manake snowhite kasema iwe ni suprise)
5) kwakua ni mwaka mwingine basi tungeweza pia kukaribisha memba wa wing nyingine kujumuika na sisi ila huyu yeye atakuja na nauli yake na mahal pa kulala ila kula na kunywa sisi tutampatia.
Haya mm nimetoa mawazo haya naoamba wengine mchangie ili kuweza kufanikisha siku hiyo.
CC Asprin, KakaKiiza, Madame B, cacico, Mtambuzi, watu8, fidel180, amu, Ruttashobolwa, Jiwe Linaloishi, Zion Daughter, Paloma, snowhite, Bishanga, Superman, KakaKiiza, Smile, Mentor, Mbimbinho, Billie, manoah, Prisoner 46664, lara 1 Ciello Thanda, Thando, Mwita Maranya ET AL
NB; uvaaji utakuwa ni wa nguo nyeupe kuonyesha furaha na umoja wetu.
Up dates:
aya hii hapa ndio kamati yenyewe kwaajili ya maandalizi
logistics gfsonwin na mwaJ
uhazini Mtambuzi
event planning and mgnt lara 1 na gfsonwin
menu cacico na snowhite
venue KakaKiiza na Asprin Madame B
vinjwaji Watu 8, figganigga na Madame B
Madame B kawa maeneo mawili nyeti kwajili ya ushapu wake na kujitolea kwake
event planning and managent!!!!!!
Date Jumamosi 26/01/2013 kuanzia saa 12 jioni ya kizungu sio mje saa 3.
Venue hapo mtaisema
Decorations theme iwe: White cocktail!!!!!
Siitting arrangement: Its a cocktail party hamna viti kama harusini ni kusimama na kusocialize mwanzo mwsho!
Dj: Ninae ila sijui kama hela itatosha!!!!!!
Decor: Wapambaji jf mjitolee mjitangazie business
Menu: Snacks na bites
Drinks: Kila mtu aje na zake manake 20 ni kuonja bia tu! Au nichukue tenda ya kuuza pale nje nini?
Entertainment : Bado nafanyia kazi kuhakikisha shughuli haiboi!
Ratiba: Iko jikoni!
Mgeni rasmi: gfsonwin fanya makarateka hapo!!!!!!
Bdo najipanga!!!!!!!! MAMBO MAKUBWA NDO TRADE MARK YANGU!!!!!!!!!! (Japo 20 ya kuchanga bado sijapata)