DAR WING -wa WHITE PARTY

gfsonwin

JF-Expert Member
Apr 12, 2012
18,274
20,673
wana CC haya tena happy new kwa mara nyingine tena mabestito.
sasa kama isemavyo hapo juu, napenda kuwakumbushia kwamba last time tulipokutana LEO TUPO HAPA PUB tulikubaliana kwamba tutaukaribisha mwaka pamoja hapa Dar kama sehem ya kuendeleza undugu na umoja wetu.

sasa nafikiri Jan ndo hii, na hivyo tunahitaj kujipanga ili kufanikisha hii party. sasa hapa nakaribisha michango ya mawazo yenu juu ya kaufanikisha jambo hili.

yufuatayo ni mawazo ya serikali ya kichwa changu juu ya hii party sasa naomba tujadiliane vyema ili kuona tuaipanga vipi.

1)nafikiri kila memba atoe mchango wake ili siku hiyo aweze kula na kunywa huku tukkiserebuka. niliwaza hivi kama kila memba atakaye confirm kushiriki akitoa 20000/= basi aweze kupata sahan ya menu na vinywaji at least 2 local beers. hapa naomba msaidie mawazo nimetengeneza tu plat form.

2)Tutafute venue ambayo tutacheza na kajimziki kidogo huku tukiendelea kufuraia mwaka na kazi ya kutafuta venue hapa nitawaachia Asprin na KakaKiiza wao ni wazee wa mji zaidi.

3) tarehe ya makutano yetu iwe ni tarehe 19/01 wazo tu ila kwa anayetaka kupropose tofauti unakaribishwa.
4) kwa watakao confirm kushiriki basi kuna added task watakayopewa kuifanya kwa mwaka mzima kwajili ya wana jf wenzao na hii ni strictly kwamba baada ya mwaka watatakiwa kurudisha amana. ( hapa nisifunguke zaid manake snowhite kasema iwe ni suprise)

5) kwakua ni mwaka mwingine basi tungeweza pia kukaribisha memba wa wing nyingine kujumuika na sisi ila huyu yeye atakuja na nauli yake na mahal pa kulala ila kula na kunywa sisi tutampatia.

Haya mm nimetoa mawazo haya naoamba wengine mchangie ili kuweza kufanikisha siku hiyo.



CC Asprin, KakaKiiza, Madame B, cacico, Mtambuzi, watu8, fidel180, amu, Ruttashobolwa, Jiwe Linaloishi, Zion Daughter, Paloma, snowhite, Bishanga, Superman, KakaKiiza, Smile, Mentor, Mbimbinho, Billie, manoah, Prisoner 46664, lara 1 Ciello Thanda, Thando, Mwita Maranya ET AL

NB; uvaaji utakuwa ni wa nguo nyeupe kuonyesha furaha na umoja wetu.



Up dates:
aya hii hapa ndio kamati yenyewe kwaajili ya maandalizi

logistics gfsonwin na mwaJ

uhazini Mtambuzi

event planning and mgnt lara 1 na gfsonwin

menu cacico na snowhite

venue KakaKiiza na Asprin Madame B

vinjwaji Watu 8, figganigga na Madame B
Madame B kawa maeneo mawili nyeti kwajili ya ushapu wake na kujitolea kwake


event planning and managent!!!!!!
Date Jumamosi 26/01/2013 kuanzia saa 12 jioni ya kizungu sio mje saa 3.
Venue hapo mtaisema

Decorations theme iwe: White cocktail!!!!!

Siitting arrangement: Its a cocktail party hamna viti kama harusini ni kusimama na kusocialize mwanzo mwsho!

Dj: Ninae ila sijui kama hela itatosha!!!!!!

Decor: Wapambaji jf mjitolee mjitangazie business

Menu: Snacks na bites

Drinks: Kila mtu aje na zake manake 20 ni kuonja bia tu! Au nichukue tenda ya kuuza pale nje nini?

Entertainment
: Bado nafanyia kazi kuhakikisha shughuli haiboi!

Ratiba: Iko jikoni!

Mgeni rasmi: gfsonwin fanya makarateka hapo!!!!!!

Bdo najipanga!!!!!!!! MAMBO MAKUBWA NDO TRADE MARK YANGU!!!!!!!!!! (Japo 20 ya kuchanga bado sijapata)
 
DID ANY BODY SAY PARTYYYYYYYYYYYYYYY!!!!!!!!! Woooooooooooooooooow!!!!!!!!! Jamani jamani naomba niwemo kamati ya maandalizi!!!!!!!!! Party na Event Management is my thingyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!!!! Kwa miparty ya 21st century naomba niwemo kamati ya maandalizi!

Japo hapa nilipo sina hata mia ya kula mchana wa leo!!!!!!!!
 
I am confirming my attending with Thando on whites though Thando, my wife many a times preffered blazer's. This will be her first time in full colored white.Mama you will pendeza sana. Please my sweet Thando, your contributions in terms of Date, Time, Dressing, Contribution of TZS 20.000p.pax, etc etc .Venue proposal left to Asprin and KakaKiiza.
gfsonwin, pamoja sana hapo Dar. I will be very happy to meet JF members there!!

Karibu Wakwao!!
wana CC haya tena happy new kwa mara nyingine tena mabestito.
sasa kama isemavyo hapo juu, napenda kuwakumbushia kwamba last time tulipokutana LEO TUPO HAPA PUB tulikubaliana kwamba tutaukaribisha mwaka pamoja hapa Dar kama sehem ya kuendeleza undugu na umoja wetu.

sasa nafikiri Jan ndo hii, na hivyo tunahitaj kujipanga ili kufanikisha hii party. sasa hapa nakaribisha michango ya mawazo yenu juu ya kaufanikisha jambo hili.

yufuatayo ni mawazo ya serikali ya kichwa changu juu ya hii party sasa naomba tujadiliane vyema ili kuona tuaipanga vipi.

1)nafikiri kila memba atoe mchango wake ili siku hiyo aweze kula na kunywa huku tukkiserebuka. niliwaza hivi kama kila memba atakaye confirm kushiriki akitoa 20000/= basi aweze kupata sahan ya menu na vinywaji at least 2 local beers. hapa naomba msaidie mawazo nimetengeneza tu plat form.

2)Tutafute venue ambayo tutacheza na kajimziki kidogo huku tukiendelea kufuraia mwaka na kazi ya kutafuta venue hapa nitawaachia Asprin na KakaKiiza wao ni wazee wa mji zaidi.

3) tarehe ya makutano yetu iwe ni tarehe 19/01 wazo tu ila kwa anayetaka kupropose tofauti unakaribishwa.
4) kwa watakao confirm kushiriki basi kuna added task watakayopewa kuifanya kwa mwaka mzima kwajili ya wana jf wenzao na hii ni strictly kwamba baada ya mwaka watatakiwa kurudisha amana. ( hapa nisifunguke zaid manake snowhite kasema iwe ni suprise)

5) kwakua ni mwaka mwingine basi tungeweza pia kukaribisha memba wa wing nyingine kujumuika na sisi ila huyu yeye atakuja na nauli yake na mahal pa kulala ila kula na kunywa sisi tutampatia.

Haya mm nimetoa mawazo haya naoamba wengine mchangie ili kuweza kufanikisha siku hiyo.

CC Asprin, KakaKiiza, Madame B, cacico, Mtambuzi, watu8, fidel180, amu, Ruttashobolwa, Jiwe Linaloishi, Zion Daughter, Paloma, snowhite, Bishanga, Superman, KakaKiiza, Smile, Mentor, Mbimbinho, Billie, manoah, Prisoner 46664, lara 1 Ciello Thanda, Thando, Mwita Maranya ET AL

NB; uvaaji utakuwa ni wa nguo nyeupe kuonyesha furaha na umoja wetu.
 
Last edited by a moderator:
DID ANY BODY SAY PARTYYYYYYYYYYYYYYY!!!!!!!!! Woooooooooooooooooow!!!!!!!!! Jamani jamani naomba niwemo kamati ya maandalizi!!!!!!!!! Party na Event Management is my thingyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!!!! Kwa miparty ya 21st century naomba niwemo kamati ya maandalizi!

Japo hapa nilipo sina hata mia ya kula mchana wa leo!!!!!!!!
na ujanja wako wote hapa mjini umekosa mtu wa kukunja shati akutoe lunch!
kweli penye miti wajenzi hakuna
 
DID ANY BODY SAY PARTYYYYYYYYYYYYYYY!!!!!!!!! Woooooooooooooooooow!!!!!!!!! Jamani jamani naomba niwemo kamati ya maandalizi!!!!!!!!! Party na Event Management is my thingyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!!!! Kwa miparty ya 21st century naomba niwemo kamati ya maandalizi!

Japo hapa nilipo sina hata mia ya kula mchana wa leo!!!!!!!!
hapa ndo ninapokupendaga mdogo wangu, haya wewe utafanya event planning and mngt sawa?? mie nita set logistics tu lol!
 
I am confirming my attending with Thando on whites though Thando, my wife many a times preffered blazer's. This will be her first time in full colored white.Mama you will pendeza sana. Please my sweet Thando, your contributions in terms of Date, Time, Dressing, Contribution of TZS 20.000p.pax, etc etc .Venue proposal left to Asprin and KakaKiiza.
gfsonwin, pamoja sana hapo Dar. I will be very happy to meet JF members there!!

Karibu Wakwao!!
happy new year mkuu
shukrani kwa kipindi kileee!
God bless u abundantly
kila kitu kwako kiwe double double mwaka huu,pesa double,magari double,watoto,mke kila kitu
 
DID ANY BODY SAY PARTYYYYYYYYYYYYYYY!!!!!!!!! Woooooooooooooooooow!!!!!!!!! Jamani jamani naomba niwemo kamati ya maandalizi!!!!!!!!! Party na Event Management is my thingyyyyyyyyyyy!!!!!!!!!!!!!!! Kwa miparty ya 21st century naomba niwemo kamati ya maandalizi!

Japo hapa nilipo sina hata mia ya kula mchana wa leo!!!!!!!!

Piga mkwara huu, afu usitokee, lazima tukumeze lara 1
 
Last edited by a moderator:
happy new year mkuu
shukrani kwa kipindi kileee!
God bless u abundantly
kila kitu kwako kiwe double double mwaka huu,pesa double,magari double,watoto,mke kila kitu

I do remember you Smile when your mother passed away, but you have proven to be an eloquent woman, wont you?
 
Last edited by a moderator:
Acha wenge wewe Smile..........., Hata wanaokunywa Juisi kwenye harusi huwa wanatoa michango kamili, hawatoi nusu.

hya ushaanza shostito lol!
haya hebu cheki kisha niambie tuendeleeje?? lara 1 kasema yeye event planning and mngt
 
Last edited by a moderator:
Piga mkwara huu, afu usitokee, lazima tukumeze lara 1

Hahahaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!!!! Kama nilivosema hata 100 sina hapa ila ya Party hio 20,000 nyingi sana ilia ibidi nitaizaaaa! Embu tuache kufanya party kama harusi! 20,000 yote ya nini? Tufanyeni cocktail house party!!!!! Mtu ajitolee jumba lake kiingilio kila anekuja analeta drinks ndo anaingia!!!! Kama soda inabidi ulete kreti! Swala la kuleta TOTOZ nzuri mniachie mie ila mkichunwa viwanja na mijumba yenu mie simooooo!!!!!!!!

Mambo ya kutiririsha bier usiku kucha! Hakuna viti wala ratiba ni kusocialize 24/7 kila mtu na wake!!!!!! Aluuuuuuuuuuuu!!!!!! Wadhamini manajitolea snacks!!!!! (Najua hiziz pary za ki Belasconi wa Italy hamziwezi ma GT wa JF)
 
I am confirming my attending with Thando on whites though Thando, my wife many a times preffered blazer's. This will be her first time in full colored white.Mama you will pendeza sana. Please my sweet Thando, your contributions in terms of Date, Time, Dressing, Contribution of TZS 20.000p.pax, etc etc .Venue proposal left to Asprin and KakaKiiza.
gfsonwin, pamoja sana hapo Dar. I will be very happy to meet JF members there!!

Karibu Wakwao!!

wait to see you two lol!
 
na ujanja wako wote hapa mjini umekosa mtu wa kukunja shati akutoe lunch!
kweli penye miti wajenzi hakuna

Hahahaaaaaa! Mi si alwatan bana! Sina mia toka mkesha ila kila siku lazima nile kuku choma na bia, hapa nishakunywa supu! Sina mashaka ya jioni itakuwaje! Japo mia sina!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom