Kipaji Halisi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2012
- 2,280
- 1,366
...eeeeh....Tena ukome kuchangia uzi nilioanzisha.
Umbea unaujua au unausikia?
We umechangia?
Chokolaization mkubwa we.
...eeeeh....Tena ukome kuchangia uzi nilioanzisha.
Umbea unaujua au unausikia?
We umechangia?
Chokolaization mkubwa we.
FifiiiFYI, sijawahi kuwekwa kizuizini mimi....those who know me get my drift:A S shade:
sina ngareAngalia wewe mwenge ngare.
Hili jukwaa sijapita siku nyingi sana aisee.Kweli huyu kiumbe ODM ni hatari kwa wake za watu.
KakaKiiza, asikudanganye...
Ana paka wake huyo,Akilia nyau....
Nipo single ndiyo nataka kurithi.....Ila hao watoto 3....Kaacha mjane na watoto 3.
Ukiwaona ni kopiraiti na baba yao.
Haya nawewe unakuja huku,una mke?
Au uko single!
Nipo single ndiyo nataka kurithi.....Ila hao watoto 3....
Jaman muwe mnanitag kwenye thread zenu na mie nami napenda kujumuika huko
Karibu sana,japo najua hapa unapita tu.......lipo jukwaa lako Maalum.
Karibu tena.
Tusalimie huko.
Ha ha ha ....hata nikitoka nitarudi.Nimeacha ua langu huku au niondoke nae?
Karibu, lakini chonde chonde........Huku ni stress free, liache tu ua lako Mashemeji zangu akina Nicas Mtei na watu8 watakutunzia.
Hawa wanasali FGBF.
Ulipomtaja tu Nicas Mtei,nimeghairi...Sitoki hapa!
Mkwe nimesoma Moshi Technical Sec School... One of the best school by then.... Ukichaguliwa kwenda pale we ni kichwa mbaya. By then Moshi Tech, Old Moshi, Umbwe, Lyamungo, Weruweru, Ashira, Machame...... wacha kabisa.... VICHWAAAA!!! afu tunapambana kula nondo na mapadre wa MAUA, ST JAMES, KASITA et EL.... Seminary zilikuwa zinapata habari yetu enzi hizo eti siku hizi zimekuwa WAFALME???? Nyambaffffff. Kwenda seminary ilikuwa second option siku hizi ndio first priority............... BIA HOYEEEEEEEE!!!hii imenitoa sana machozi siku ya jana.......
nikawaza enzi zile wakati tunasoma shule za serikali na tunapata one......
siku hizi shule hizo hizo ndo zinaongoza kwa 4 na 0
hapa lazima kuwe na maamuzi magumu, otherwise hali itakuwa zaidi ya kuuawa mapadre
hao laki ngapi woote unafikiria watafanya nini zaidi ya kusubiri kusikiliza wapi wanaandamana kudai gesi isisafirishwe nao wakajiunge?
na mwakani.... na mwaka kesho kutwa......
Ha ha u made my day surely umesahau busaa hiyo kitu ndo mpango mzima he he halafu nikikukamata utanitambua we hay weee
Ulipomtaja tu Nicas Mtei,nimeghairi...Sitoki hapa!