JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

Nijibu huo wivu.....

Ha ha ha,Kuniharibia tu huku.Tuliachana siku ya valentine


Muulize Madame B mwenyewe...wakuu mna wivu sijawahi kuona.Msiniloge tu.Silogeki....

Ben Saanane Ur the Only One.
Nakupenda sana.
Mapenzi unayonipa ni zaidi ya Ngoma droo.
Acha wachonge lakini sikuachi.
Love U.
 
Last edited by a moderator:
Ben mjibu mtei! maana leo nilikuwa Goba..kwenye mkutano ukijibu hoja za JS......inaonekana mlishibana...Madam B mhulize huyu bwana mkiwa faragha...ahahahah

Huyu BS ni wangu.
Nitamuuliza akiwa kitandani nami.
 
Ha ha haaa Madame B usitake nicheke usiku huu nikaitwa mwanga loooool............lol.

Unakumbuka ulitaka kukwamia njiani, punzi ikawa km inapotea vilee.

Yaani acha tu those days bhana, unforgotable, CHUMVINI ha ha haaaa,hapa namkumbuka PakaJimmy kwa karibu saaaana "KUMBATIO" uwiiiiii acha kabisa.

Miss you all kwa kweli.
I miss you too, lile kumbatio la PJ sio mchezo hadi linatibu jamani!!
Yaani ile njia achana nayo kbs,,,,,,,taa moja iko mbele, moja kati na ingine mwisho..........Nisimshike shati Arushaone nini, maana lile giza, ile nafika katikati sioni mbele.......Mie na Lily Flower nusura tulie, mpaka shem watu8 akanipa taa, pa kutokea sasa nusu nikwame......Mpaka naimaliza ile njia nyembamba niko hoooooiiiiiii........

Unapakumbuka Airport? Ile Ndege tuliyopanda?
p1220084.jpg
Wow.... airport watu haooo wanapaa Madame B hivi nani alikupandisha hapo kwenye ndege?
 
Last edited by a moderator:
Asante Mpenzi.
Hebu tujilalie zetu.
Tutafute mtoto wetu wa Pili.

We we we! Koma kabisa, mtafute mtoto 'wenu'? Yaani mtot wangu ndio unataka kumbinafsishia huu kijana wa pipozi?
Halafu we Ben Saanane si urudi huko siasani mkapeane stress? Huku umefuata nini jamani umekuja kutuharibia mingo?
 
Last edited by a moderator:
We we we! Koma kabisa, mtafute mtoto 'wenu'? Yaani mtot wangu ndio unataka kumbinafsishia huu kijana wa pipozi?
Halafu we Ben Saanane si urudi huko siasani mkapeane stress? Huku umefuata nini jamani umekuja kutuharibia mingo?

Tulia hvo hvo kama unanyolewa.
Mwanangu mmempiga danadana mpaka nikasarenda.
Leo hii kajitokeza mfadhili,ndo mnajitokeza.

Naomba salamu hizi uwafikishie na waume wenzako huko waliko.
BS, tufanye yetu.
Ila endelea kunishawishi,naweza badili msimamo.
 
Last edited by a moderator:
Tulia hvo hvo kama unanyolewa.
Mwanangu mmempiga danadana mpaka nikasarenda.
Leo hii kajitokeza mfadhili,ndo mnajitokeza.

Naomba salamu hizi uwafikishie na waume wenzako huko waliko.
BS, tufanye yetu.
Ila endelea kunishawishi,naweza badili msimamo.

Madame B my love, hata kama ni ugomvi wetu naomba usimuumize mwanetu.
Kumpelekea huyu kijana wa pipoz ni kumharibu mwanetu, atavalishwa magwanda, maskafu, atafundishwa nyimbo za kimapinduzi na akifikisha miaka 5 tu ataanza kupigania haki yake kwenye familia.
Tafadhali nakuomba tuyamalize tu, bora hata akalelewe na mkongoman Chimbuvu.
Sitaki kitoto cha kuja kuandamana kikitaka kupelekwa shule mapema na miaka 3. Please do this for this innocent kid!
 
Last edited by a moderator:
Madame B my love, hata kama ni ugomvi wetu naomba usimuumize mwanetu.
Kumpelekea huyu kijana wa pipoz ni kumharibu mwanetu, atavalishwa magwanda, maskafu, atafundishwa nyimbo za kimapinduzi na akifikisha miaka 5 tu ataanza kupigania haki yake kwenye familia.
Tafadhali nakuomba tuyamalize tu, bora hata akalelewe na mkongoman Chimbuvu.
Sitaki kitoto cha kuja kuandamana kikitaka kupelekwa shule mapema na miaka 3. Please do this for this innocent kid!

Red: Ni haki yake kufuata Itikadi ya Chama alichokuwako Step Dad ake.
Blue: Huyo ndo babayake halisi, hivo kwenda ni haki yake.
Green: Watoto hawa wa.COM, mwaka 1yuko shule, hivo si ajabu
UNA LA NYONGEZAAA...........!!!!!!!!!!
 
Red: Ni haki yake kufuata Itikadi ya Chama alichokuwako Step Dad ake.
Blue: Huyo ndo babayake halisi, hivo kwenda ni haki yake.
Green: Watoto hawa wa.COM, mwaka 1yuko shule, hivo si ajabu
UNA LA NYONGEZAAA...........!!!!!!!!!!

ha ha ha ha ha!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom