JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

Mwambie afunguke tu lililo moyoni mwake,maana tangu asubuhi ana wewe tu.
Watu bwana yeye ukutumwa posta wakati anasoma primary??je hukusoma barua kwenye bahasha?/au yeye ndo shule za fm academia??kwenda kwa gari kurudi kwa gari! posta wanatuma courier asante kwakunifikishia ujumbe kwa Zion Daughter:smile-big:
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
11491287-3d-after-party-crossword-on-white-background.jpg
 
dah! usiseme jamani shulen kwangu nina four na zero tu.
kiukweli ninahasira yenye uchungu sana moyoni mwangu.

hawa watoto wanapiga kelele sana sitaki usumbufu kwa sasa.
hii imenitoa sana machozi siku ya jana.......
nikawaza enzi zile wakati tunasoma shule za serikali na tunapata one......
siku hizi shule hizo hizo ndo zinaongoza kwa 4 na 0
hapa lazima kuwe na maamuzi magumu, otherwise hali itakuwa zaidi ya kuuawa mapadre
hao laki ngapi woote unafikiria watafanya nini zaidi ya kusubiri kusikiliza wapi wanaandamana kudai gesi isisafirishwe nao wakajiunge?
na mwakani.... na mwaka kesho kutwa......
 
hii imenitoa sana machozi siku ya jana.......
nikawaza enzi zile wakati tunasoma shule za serikali na tunapata one......
siku hizi shule hizo hizo ndo zinaongoza kwa 4 na 0
hapa lazima kuwe na maamuzi magumu, otherwise hali itakuwa zaidi ya kuuawa mapadre
hao laki ngapi woote unafikiria watafanya nini zaidi ya kusubiri kusikiliza wapi wanaandamana kudai gesi isisafirishwe nao wakajiunge?
na mwakani.... na mwaka kesho kutwa......

Hivi kuna kitu kweli ambacho hatujashindwa??

nasikia hadi vitandani tumekuwa weupe...lol!!

Tufwile bhanyambhala!!

Babu DC!!
 
Hivi kuna kitu kweli ambacho hatujashindwa??

nasikia hadi vitandani tumekuwa weupe...lol!!

Tufwile bhanyambhala!!

Babu DC!!
ha haaaaa, ndo maana nilikuwa nawaambia wamama wenzangu kuleeeee kwamba inabidi tuanzishe mkakati wa makusudi kabisa kuokoa jahazi
kwani hawa si wametoka kwetu? kwa nini tukubali kushindwa kirahisi namna hii?
yaani kila sehemu ni vilio tuuuuuu, tutafika kweli?
umeona takwimu za kukosekana kwa watoto zinavyopanda? sasa si mwisho dunia itaishia?
 
Mkimpa uhakika kwamba hamtaenda kuraruwiwa hana neno..lol!!

Babu DC!!

Sasa unataka nani aturarue!
Babu tupe ruhusa turaruliwe polepole.
Eti Mjukuu mwenzangu Kongosho,twen'zetu.
 
Last edited by a moderator:
ha haaaaa, ndo maana nilikuwa nawaambia wamama wenzangu kuleeeee kwamba inabidi tuanzishe mkakati wa makusudi kabisa kuokoa jahazi
kwani hawa si wametoka kwetu? kwa nini tukubali kushindwa kirahisi namna hii?
yaani kila sehemu ni vilio tuuuuuu, tutafika kweli?
umeona takwimu za kukosekana kwa watoto zinavyopanda? sasa si mwisho dunia itaishia?

Nadhani ni nature inafanya kazi yake...the less fit watapotezewa mbali ili kusafisha hali ya hewa...

I wish it was quick enough kwani .............


Babu DC!!
 
Sasa unataka nani aturarue!
Babu tupe ruhusa turaruliwe polepole.
Eti Mjukuu mwenzangu Kongosho,twen'zetu.


Ya kweli hayo kweli??

Hiyo ruhusa babu hawezi kutoa aisee...

Mazazi gani anaweza kukubali watoto/wakujukuu zake watunwe tafunwe hovyo kama karanga??

Babu DC!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom