Hilo wazo lwenu lilishatekelezwa zamani nyi ndio mmeanza kutambaa wakati si tuko skonga long time yan nyie bado mko Analogy sisi tuko zetu Digitali tangu enzi za Mwalimu!
Ongeeni tu Madame B si hayo ni ya kale!
Copy kwa Maxence Melo
Hiyo summary mnayotaka mbona hapa watu watakimbiana??maana mhmmm:shut-mouth:Labda!!!Labda muhainishe summary inayotakiwa maana nilichokiona ni kujuana>> na kubadirshana>>nambaza simu>>na mwisho................kesho kwenye sled!!
Mpendwa mke mwenza lile desa letu umepoteza kama hulioni uje nikupatie lingine katibu Mzee wa Rula anacopy kibao
Nilikuwa na review CCTV siyo mimi madame Palomaheeeeeeee kumbe ndio ulichokwenda kukifanya hichi huko white party?!?!?!?!!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?!?
Vin Diesel mwaya njoo usevu jahazi.....weka ma-pwee (points) ya hii gathering!!!
Mzima wewe??Mabwaku.
Umeona eeh?Huyu KakaKiiza ana lake jamboMabwaku.
waooow beibe Vin Diesel...... nilikumiss humu aisee!!!