JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

J'MOSI 23 Feb Kutakuwa na kikao cha dharura pale 'LEO TUPO HAPA PUB' Kwa Mjeda kuanzia saa 12 jioni..Nadhani tutakuwa na muda mzuri wa kujadili yatarajiwayo.... Wadau wa White Party na wale watakaopenda kuhudhuria wanakaribishwa.... Kwa watakaoaka kuhudhuria PM zielekezwe kwa Madame B, Paloma na amu

Copy: cacico, gfsonwin, amu, kipaji halisi, Jiwe Linaloishi, Kaizer, Jeska, Asprin, Madame B, watu8, Mulama, Bujibuji, Zion Daughter, Remmy, snowhite, Paloma ...............

aiseee nimepata pm kama mia hivi.................nimekataa katakata hata kuwa hakuna kitu kama hicho....kwamba ni udaku...............kumbe maglass yangu yamenilead vibaya nilikuwa sijaona!!!

i must go back to them with the correct message now...............uuurrgggggggrrrrrrrhhh
 
J'MOSI 23 Feb Kutakuwa na kikao cha dharura pale 'LEO TUPO HAPA PUB' Kwa Mjeda kuanzia saa 12 jioni..Nadhani tutakuwa na muda mzuri wa kujadili yatarajiwayo.... Wadau wa White Party na wale watakaopenda kuhudhuria wanakaribishwa.... Kwa watakaoaka kuhudhuria PM zielekezwe kwa Madame B, Paloma na amu

Copy: cacico, gfsonwin, amu, kipaji halisi, Jiwe Linaloishi, Kaizer, Jeska, Asprin, Madame B, watu8, Mulama, Bujibuji, Zion Daughter, Remmy, snowhite, Paloma ...............

Poa Mzazi.
Nimeshasawazisha
 
Last edited by a moderator:
aiseee nimepata pm kama mia hivi.................nimekataa katakata hata kuwa hakuna kitu kama hicho....kwamba ni udaku...............kumbe maglass yangu yamenilead vibaya nilikuwa sijaona!!!

i must go back to them with the correct message now...............uuurrgggggggrrrrrrrhhh
......pole sana...
 
Madame B wengine hatukuwepo. Na hatujui nini mliongea
 
mdogo wangu, kwanza kabisa nakupongeza kwa bandiko hili kwani umenijulisha kwa kioo kwamba kuna jambo mlijadili siku ya wp. sasa anza kwanza kuniambia yatokanayo na WP mlikubaliana nini kifanyike. pili kutokuwepo kwangu kwenye P haina maana kwamba uenyekiti wangu wa jf Dar wing mmeninyang'anya so kabla ya kupost jambo lolote mm mwenyekiti nilipaswa kujua cc Mtambuzi, Asprin na wee mwenyewe kwa utekelezaji.

Hahaha
Mwenyekiti nawe huna taarifa?
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom