Unan'chosha Bhana...........we ushasema hutaki, basi kausha, Ritz, zomba, Ben Saanane na Matola wanakuita kule Siasani
Duh nilidhani unaniita.....
Mimi nakuja kukaa...Hajaacha mjane huku?Haaa!!! Ben Saanane tangu jana nakuita ndio unakuja leo?
Niliwaita mje kumchukua mwanasiasa mwenzenu Nyani Ngabu maana anan'chosha tu huku.
Nashangaa kaja zomba na Matola peke yake.
Ila nashukuru,keshaondoka.
....eeeh...:shut-mouth:..nakaa kimyapole ya nini mii kwani mie mzazi...............?!?!?:A S angel:
Dogo shikamoo...!!
tumianeni msg mnatumalizia server wakati hata kuchangia hamchangiiHaikuhusu.
Piga kimya.
tumianeni msg mnatumalizia server wakati hata kuchangia hamchangii
Umbea tu unawapeleka huko kukutana
Achana nalo jinga tu hilo, stress zimemzidi anashindwa hata pa kuzitolea, namshauri aende Venezuela kuna tiba ya kucheka, watu mnakutana mnacheka tu muda wote na maradhi yanakwisha.Tena ukome kuchangia uzi nilioanzisha.
Umbea unaujua au unausikia?
We umechangia?
Chokolaization mkubwa we.
Haaa!!! Ben Saanane tangu jana nakuita ndio unakuja leo?
Niliwaita mje kumchukua mwanasiasa mwenzenu Nyani Ngabu maana anan'chosha tu huku.
Nashangaa kaja zomba na Matola peke yake.
Ila nashukuru,keshaondoka.
Naona sera zako zimekaa kisiasa siasa.
Ok Well Noted.
Vp bhana.
Jana nilikumiss kwa ule muda mfupi uliokuwa kizuizini.