Mkwe nimesoma Moshi Technical Sec School... One of the best school by then.... Ukichaguliwa kwenda pale we ni kichwa mbaya. By then Moshi Tech, Old Moshi, Umbwe, Lyamungo, Weruweru, Ashira, Machame...... wacha kabisa.... VICHWAAAA!!! afu tunapambana kula nondo na mapadre wa MAUA, ST JAMES, KASITA et EL.... Seminary zilikuwa zinapata habari yetu enzi hizo eti siku hizi zimekuwa WAFALME???? Nyambaffffff. Kwenda seminary ilikuwa second option siku hizi ndio first priority............... BIA HOYEEEEEEEE!!!
Watoto kufeli bana..... anyway.... hommie
Kaizer hebu niokoe mi nakasirikaga sana asee. Hivi siku hizi hakuna Juma na Roza? Hakuna Mr. and Mrs. Daudi???? Hakuna Baraka na Neema???? Dammmmmnnnnnnnnnnnnnnnnn!! Kweli 60% wamefeli kwa maana ya divisheni ziro????? Pumbaf kabisa. Siku hizi hakuna vitabu hata vya Willy Gamba??????