JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

JF-Dar Wing.........Soma Hapa......Muda Unayoyoma!!!!!!!

Waoooooo My Yummy yummy Swirrrrr.....
ukifanya hayo, Wallah BS hutajuta kuwa nami.
Barra don let'me dwn my D'one.




...kwa maana tunaishi ki-jeshijeshi tu hapa.



Baelezeeeeee hao.........baelewe kbs.....Mwaka Mpya na Mambo mapya Swirii wangu.
CC: Chimbuvu, Arushaone, Chilli, Shark na shem-Binamu Nicas Mtei, Bishanga usichungulie wala Shem Filipo usisome kbs.
Tulieni hivo hivo.
Haya........lete Mpya Ben wangu.

Ngoja nipande pande za KG. leka dutigite, hakyanani hatapona mutu wala panya.
Halafu we nawe Madame B nakuhitaji nyumbani fasta unipe maana ya hiyo 'B' lasivyo nakinukisha.
 
Last edited by a moderator:
Hata mimi nilikuwa nawazia Jambo hilohilo........
Hivi kwa nini Tusiende mbali na Mji tuka-chilly kwa kujinafasi?????
Sasa ngoja mie nikaoge ili nijiandae tutoke Swirii wangu.
Swits umeniacha hoi.I'm proud of you....sitakuacha kamwe.Sijui kwa nini nilichelewa kukujua.

Hadhira ninaijuza, kwa yote niliyofunzwa.
Mapenzi niloyakuza, mwandani kumliwaza.
Ni pekee nayatunza, yako nimeyatukuza

Leo tubadili kiwanja.Tuende hapa....

kisiwa.jpg room.jpg
 
Swits umeniacha hoi.I'm proud of you....sitakuacha kamwe.Sijui kwa nini nilichelewa kukujua.

Hadhira ninaijuza, kwa yote niliyofunzwa.
Mapenzi niloyakuza, mwandani kumliwaza.
Ni pekee nayatunza, yako nimeyatukuza

Leo tubadili kiwanja.Tuende hapa....

View attachment 84246View attachment 84247

C.c. Chimbuvu . Kwa ajili ya kumroga mtu
C.c. Chilli, tedo, Chibolo, Arushaone . Kwa ajili ya kujiuliza mmefikia wangapi

C.c. Ruttashobolwa. Kwa taarifa na updates juu ya mwenendo wa mtalaka wako.

C.c. Baba V . Kwa ajili ya kuchukua hatua stahiki
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:
Swits umeniacha hoi.I'm proud of you....sitakuacha kamwe.Sijui kwa nini nilichelewa kukujua.

Hadhira ninaijuza, kwa yote niliyofunzwa.
Mapenzi niloyakuza, mwandani kumliwaza.
Ni pekee nayatunza, yako nimeyatukuza

Leo tubadili kiwanja.Tuende hapa....

View attachment 84246View attachment 84247

Upendo unaonipa, tuko kama kumbikumbi,
Hakika sitokutupa, natunza yako maombi,
Sitaenda pupa pupa, natulia mwana Rumbi,
Chilli, tedo na Sefet, wakuache upumuwe.

african-american-couple-double-date-kitchen.jpg


Popote Pale mie nitaenda na wewe.
 
Last edited by a moderator:
Swits umeniacha hoi.I'm proud of you....sitakuacha kamwe.Sijui kwa nini nilichelewa kukujua.

Hadhira ninaijuza, kwa yote niliyofunzwa.
Mapenzi niloyakuza, mwandani kumliwaza.
Ni pekee nayatunza, yako nimeyatukuza

Leo tubadili kiwanja.Tuende hapa....

View attachment 84246View attachment 84247

Iko siku utajuta kwa nini ulimfahamu huyu binti, washalia wengi sana ijekua weye?
Hata mimi niliambiwa hivyo hivyo kama wewe nikakaza, ila iko siku nilijuta na kukumbuka maneno ya Baba V (RIS) na loya Ruttashobolwa.
All in all, nakutakia kila la kheri na ni yangu matumaini kwamba hutawahi kuondoka kama wengi waliojichanganya Kino Clain.
 
Last edited by a moderator:
Iko siku utajuta kwa nini ulimfahamu huyu binti, washalia wengi sana ijekua weye?
Hata mimi niliambiwa hivyo hivyo kama wewe nikakaza, ila iko siku nilijuta na kukumbuka maneno ya Baba V (RIS) na loya Ruttashobolwa.
All in all, nakutakia kila la kheri na ni yangu matumaini kwamba hutawahi kuondoka kama wengi waliojichanganya Kino Clain.

Ha ha ha .Wivu huo...

Hamkufanya yanayostahili.Nimetoka kwenye mkutano wa hdahara Goba .Ananiweka fit ha hahah
 
Last edited by a moderator:
Nicas Mtei,Majungu hayo......

Hauniharibii.
Madame B kwa bahati nzuri si mtu wa kusikiliza maneno ya watu.She's a woman of substance,focused and well determined

Ben mjibu mtei! maana leo nilikuwa Goba..kwenye mkutano ukijibu hoja za JS......inaonekana mlishibana...Madam B mhulize huyu bwana mkiwa faragha...ahahahah
 
Last edited by a moderator:
Ben mjibu mtei! maana leo nilikuwa Goba..kwenye mkutano ukijibu hoja za JS......inaonekana mlishibana...Madam B mhulize huyu bwana mkiwa faragha...ahahahah

Ben Saanane jibu hapa, maana mtoto Shonza alikua na mnido wa kumtosha, kitu laini kama Madame B hutakiweza.
 
Last edited by a moderator:
Jibu swali langu Ben jibu
Nijibu huo wivu.....
Ben mjibu mtei! maana leo nilikuwa Goba..kwenye mkutano ukijibu hoja za JS......inaonekana mlishibana...Madam B mhulize huyu bwana mkiwa faragha...ahahahah
Ha ha ha,Kuniharibia tu huku.Tuliachana siku ya valentine
Ben Saanane jibu hapa, maana mtoto Shonza alikua na mnido wa kumtosha, kitu laini kama Madame B hutakiweza.

Muulize Madame B mwenyewe...wakuu mna wivu sijawahi kuona.Msiniloge tu.Silogeki....
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom