💯%.Hamna maisha nje ya jf? Ingia angalia mada kama ni kubadilishana mawazo na members fanya hivo Toka endelea na maisha yako, tatizo watu wanafanya jf kama sehemu ya kutafta sympathy kwenye maisha Yao, mtu anakua anataka attention kutoka Kwa watu hata hamjuani....
😃😃NakusalimiaEm ngoja kwanza
Hii tabia ya kuninyali siku hizi umeitoa wapi? 😏
Aisome Hance Mtanashati🤣Ndo nyie tunawatafuta aise
Au sio,salamu za kunyaliana 🤨😃😃Nakusalimia
😃😃😃 JamaniAu sio,salamu za kunyaliana 🤨
Hakuna ukweli wowote kwenye hii thread yako.Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Kwema lakini mkuu?😃😃😃😃 Jamani
Kwema rafiki yangu 😎Kwema lakini mkuu?😃
ChaiNi dalili ya umaskini uliokithiri
Kutokuelimika licha ya mtu kwenda madarasa.
Dalili ya ubinafsi usiomithilika.
Chuki na tatizo la kisaikolojia linalotokana na trauma za malezi
Hata kuponda Nyumbu sijui Mbogamboga haya kwenye jambo linalohitaji mjadala ni dalili ya upumbavu
Upo sahihi Mkuu!Hakika mkuu,japo maudhui yenye kujenga ndiyo keypoint ya kuanzishwa forum hii
Inabidi iwe hivyo ili wanawake wajue kuwa kuzaa zaa kiholela uwe tayati kuwa kipozeo cha kina mzabzab🤣🤣Hii hatari sana
Hata mlivyomuanika Muhaya na Id zake 100 haikuwa powa kabisa.Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.