Jf bhana!

Jf bhana!

Kuna member aliwahi kunifata pm anaomba nimfollow na niwe nampa likes dah nilichoka sana 😹😹😹

Nikawaza hivi kumbe JF kuna watu wanaichukulia serious km maisha yao halisi kiasi hiki?? Nikajua wagonjwa wa bipolar D hawaji kuisha…!! 😹
 
Ni dalili ya umaskini uliokithiri
Kutokuelimika licha ya mtu kwenda madarasa.
Dalili ya ubinafsi usiomithilika.
Chuki na tatizo la kisaikolojia linalotokana na trauma za malezi

Hata kuponda Nyumbu sijui Mbogamboga haya kwenye jambo linalohitaji mjadala ni dalili ya upumbavu
Wale wa kula tunda kimasihara ndio wanaongoza😆😆


Bora wale wakutupia kituko tucheke.
 
Ni dalili ya umaskini uliokithiri
Kutokuelimika licha ya mtu kwenda madarasa.
Dalili ya ubinafsi usiomithilika.
Chuki na tatizo la kisaikolojia linalotokana na trauma za malezi

Hata kuponda Nyumbu sijui Mbogamboga haya kwenye jambo linalohitaji mjadala ni dalili ya upumbavu
Hivi kwani chai hazipo???
 
Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Dada To yeye, kwani
chai hazipogo?
Malaya hawapo?
Singlemom hawagongwi?
😀 😀 😀
 
Kuna member aliwahi kunifata pm anaomba nimfollow na niwe nampa likes dah nilichoka sana 😹😹😹

Nikawaza hivi kumbe JF kuna watu wanaichukulia serious km maisha yao halisi kiasi hiki?? Nikajua wagonjwa wa bipolar D hawaji kuisha…!! 😹
Serious?
 
Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Hahahaha,pole, Rafiki
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom