Una muignore kwa IDs zako zote au unaacha nyingine ili kumzoom 😹😹Mtu akitukana unamuweka tu ignore list mambo yasiwe mengi kuanzia hapo hauto ona Tena kile atakacho andika humu vijana wakishaoga maji yao ya chumvi wanavurugwa akili
Dah! 😹😹😹Mtu anajiita Tuyeye wewe unafikiri wataacha kumwita Malaya huyo?
Wale wa kula tunda kimasihara ndio wanaongoza😆😆Ni dalili ya umaskini uliokithiri
Kutokuelimika licha ya mtu kwenda madarasa.
Dalili ya ubinafsi usiomithilika.
Chuki na tatizo la kisaikolojia linalotokana na trauma za malezi
Hata kuponda Nyumbu sijui Mbogamboga haya kwenye jambo linalohitaji mjadala ni dalili ya upumbavu
Hivi kwani chai hazipo???Ni dalili ya umaskini uliokithiri
Kutokuelimika licha ya mtu kwenda madarasa.
Dalili ya ubinafsi usiomithilika.
Chuki na tatizo la kisaikolojia linalotokana na trauma za malezi
Hata kuponda Nyumbu sijui Mbogamboga haya kwenye jambo linalohitaji mjadala ni dalili ya upumbavu
Dada To yeye, kwaniYaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
mbona wewooo...😁😁😁😁Hamna maisha nje ya jf? Ingia angalia mada kama ni kubadilishana mawazo na members fanya hivo Toka endelea na maisha yako, tatizo watu wanafanya jf kama sehemu ya kutafta sympathy kwenye maisha Yao, mtu anakua anataka attention kutoka Kwa watu hata hamjuani....
Tunaishi nao hao kama wanataka waje waolewe...😄😄Pole mamie, watu wa hivyo na wale wanaotukana matusi ya nguoni, wananiboa sana!
Naongezea 👇 hawa wanaosemaga hivi 🤬😵💫;
6. Mwandiko wa kiume huu, huwezi kua mwanamke
Serious?Kuna member aliwahi kunifata pm anaomba nimfollow na niwe nampa likes dah nilichoka sana 😹😹😹
Nikawaza hivi kumbe JF kuna watu wanaichukulia serious km maisha yao halisi kiasi hiki?? Nikajua wagonjwa wa bipolar D hawaji kuisha…!! 😹
Hahahaha,pole, RafikiYaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.
Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....
Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Hahahaha,kumbe na wewe unajibu DM/PM?Una muignore kwa IDs zako zote au unaacha nyingine ili kumzoom 😹😹
Kwanza jeuri hiyo huna Mr kitumbo mbwata 🤣
Weekend njema🤣🤣 Asante sana