Jf bhana!

Jf bhana!

Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Hujakutana na matusi ya watu wa facebook,
Kikubwa ni kutotilia maanani kila jambo la humu, ingia peruzi sepa
 
Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Na ukitaka uvulugwe ulete mada za kina tlaahtlaah na Mwashambwa, duuh!
 
Pole mkuu

Ila single mothers ni kweli, ni wakuwagonga na kutupa mbali don't marry single mother.
 
Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Singlemom ni wakugongwa tuu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.

Pole mamie, watu wa hivyo na wale wanaotukana matusi ya nguoni, wananiboa sana!

Naongezea 👇 hawa wanaosemaga hivi 🤬😵‍💫;

6. Mwandiko wa kiume huu, huwezi kua mwanamke
 
Itategemea lengo kuu la wewe kuwa hapa jf ni nini, kama ni kuburudika tu na kuondoa stress kunakuwa hakuna shida.
Ila kama kuna malengo mengine, hapo ndipo changamoto inapoanza, ukitegemea ujibiwe kwa mlengo fulani.​
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom