Jf bhana!

Jf bhana!

Mtu akitukana unamuweka tu ignore list mambo yasiwe mengi kuanzia hapo hauto ona Tena kile atakacho andika humu vijana wakishaoga maji yao ya chumvi wanavurugwa akili
 
Like za nini sasa kwenye mawazo yako mkuu? Wanawake mnadeal na vitu visivyo na maana kabisa.
Kuna sisi hta hatujui hiyo like yake inanisadia nini mimi muhimu uni quote hapo sawa nitajua mawazo yangu umeyapenda au hayajanipenda utajua atajua mwenyewe
Elewa concepts yangu.Asante
 
Hamna maisha nje ya jf? Ingia angalia mada kama ni kubadilishana mawazo na members fanya hivo Toka endelea na maisha yako, tatizo watu wanafanya jf kama sehemu ya kutafta sympathy kwenye maisha Yao, mtu anakua anataka attention kutoka Kwa watu hata hamjuani..
Ukiacha hili mkuu pia hizi id's za kike wengi wao always wanatarajia ile speed waliyoingia nayo humu ya kukubalika basi ibaki vilevile bila kujua kuwa wengi humu niwaigizaji wazuri tu wa maisha ya kifahari na kujifanya wao na safari za ulaya ni kufumba na kufumbua na dada zetu wakisikia maisha mazuri huo ndio ugonjwa wao
Shida inakuja wakishaujua ukweli tayari wanakuwq wameshaachwa uchi ndio vilio km hivi vinaanza
 
Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
To be honest Sio sawa ila ndio binadamu na inabidi uwazoee.
Hatuwezi kukaa bila kusumbuliwa hii ndio dunia toyeye
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom