Jf bhana!

Jf bhana!

Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Hizo comments huwezi kuzikuta kwenye threads zinazojadili mambo ya msingi yemye kuhitaji akili kubwa kuyaendea.
 
Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
na ukimponda Rais... hapo sasa utapata Like zoooote! na ukiwatukana waislam au ukitaka pia uoge matusi wasanue wakristo Kuwa wanapigwa na manabii wa uongo! hapo utapewa kila tusi jip ya
 
na ukimponda Rais... hapo sasa utapata Like zoooote! na ukiwatukana waislam au ukitaka pia uoge matusi wasanue wakristo Kuwa wanapigwa na manabii wa uongo! hapo utapewa kila tusi jip ya
🤣🤣🤣 Hakika jf ina watu wa ajabu sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom