Jf bhana!

Jf bhana!

Yaan hii forum imegeuka kama sehemu ya brutal, harassment na takataka zote.

Yaan ukitaka umfurahishe mtu humu na siku yake iende njema au upate likes nyingi kwa comment yako basi comment haya maneno:..
1.chai
2.wewe ni Malaya tu
3.wewe ni shoga
4.Singlemom ni wa kugongwa tu
5.Mengine mtaongezea....

Ila haijakaa poa sana wakuu.Si nzuri sana kiubinadamu.
Chai
 
Mfano kama mimi
Nikikutana mada au posti ya mtu ya uzushi na uzwazwa...
Huwa sicheleweshi, ni anakula za uso kwa lugha mbovu kwa kwenda mbele...
Na akileta matusi kujihami, kwangu ndio amefika , atatafuta pa kutokea, hata kama ban itanihusu.....
Mimi humu kila mwanaJF ni kichwapumbu until proven otherwise.....
 
Mfano kama mimi
Nikikutana mada au posti ya mtu ya uzushi na uzwazwa...
Huwa sicheleweshi, ni anakula za uso kwa lugha mbovu kwa kwenda mbele...
Na akileta matusi kujihami, kwangu ndio amefika , atatafuta pa kutokea, hata kama ban itanihusu.....
Mimi humu kila mwanaJF ni kichwapumbu until proven otherwise.....
🤣🤣🤣Mh,aisee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom