jkipaji
JF-Expert Member
- Sep 22, 2019
- 5,704
- 7,582
Mama amempa baraka zote,ndiyo maana unaona haogopi Matapeli wa viwanja, maana hao matapeli wa viwanja wana nguvu kama ya wale wauuza madawa ya kulevya!!Msichokifahamu ni kwamba waziri SLAA ni MAGUFULI namba mbili, anapita kwenye njia ambayo viongozi wengi hawawezi kupita