Kennedy
Platinum Member
- Dec 28, 2011
- 61,525
- 74,281
By JK NyerereIkulu ni mahala patakatifu
By JK NyerereIkulu ni mahala patakatifu
Wapo wengi tu huko Geita na kwingineko. Watu wangapi wanakufa kwa kukosa hata dozi ya malaria tu? Ni wengi najua hilo. Akina mama wangapi wanajifungulia njiani kwasababu vituo vya afya vipo mbali mno na miundombinu ni mibaya?Una uhakika kuna wanafunzi wanasomea chini ya miti?
Ndugu, mambo mengine ni gradual process. Huwezi kufanya yote ukayamaliza kwà wakati mmoja. Kila siku mambo yanabadirika...na Serikali ya Mama SAMIA inajitahidi sana KILA kukicha kuhakikisha hizi kero na changamoto zinafanyiwa Kazi.Wapo wengi tu huko Geita na kwingineko. Watu wangapi wanakufa kwa kukosa hata dozi ya malaria tu? Ni wengi najua hilo. Akina mama wangapi wanajifungulia njiani kwasababu vituo vya afya vipo mbali mno na miundombinu ni mibaya?
YesSwahili architecture
Ndio maana Tunasema wangeweza buni vitu tofauti,hizo tembe wangeweza kuweka in a modern ways Sio lazima iwe ya udongo....So tungejenga tembe? Kingdom zilikuwepo na ni tembe.nenda village museum pale utaona. Nakupinga kuona uamuz huu unaona kama ilikua rahisi tu kufikiwa .vitu ving vimekua considered. Hapo kuna approaches nying zimekua considered. Heshimu mawazo ya wataalamu wetu
...Sio suala la Vyama hili ! Ni suala la Watanzania, ambao ndio Kodi Yao imetumika Hapo, bila kujali Yuko Chama Gani!....CDM bhana! Yani nyie KILA kitu mnalalamika! Hamna jema!!! Daah
Sasa malalamiko na makasiriko ya nini wakati kitu kizuri kimefanyika?...Sio suala la Vyama hili ! Ni suala la Watanzania, ambao ndio Kodi Yao imetumika Hapo, bila kujali Yuko Chama Gani!....
...CHAWA Utamjua TU Kwa maneno yake! Yaani unakataa kabisa kwamba jengo jipya Lina Shepu kama ya Msikiti ? Pole.Aaah sio kweli bhana!! Msikiti tena!!! Ukorofi huo!!!
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )
Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.
"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
Ikulu si patakatifu bwana,sema ni sehemu kuu ya ulaji ,umimi,ufalme ndo maana Nyerere alikaa miaka 23 hakutaka kuondoka.Hadi alipoona afya yake inakuwa mgogoro ndo akaachia na wengine.Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )
Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.
"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )
"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"
View attachment 2628286
...'Sio Mahali pa Kukimbilia !'...."Kwa mtu muaminifu kabisa kabisa ,ikulu ni mzigo" - Julius Kambarage Nyerere 1922-1999
Ikulu ni mahala patakatifu, na ndipo ilipo madhabahu ya Serikali.Ikulu si patakatifu bwana,sema ni sehemu kuu ya ulaji ,umimi,ufalme ndo maana Nyerere alikaa miaka 23 hakutaka kuondoka.Hadi alipoona afya yake inakuwa mgogoro ndo akaachia na wengine.
Yes, kama mtu huyo Sio mcha Mungu na tena hana hofu ya Mungu....'Sio Mahali pa Kukimbilia !'....
Huna akiliWewe huna Elimu ya architecture archaeology. Hapo kimefanyika kitu ambacho kinaitwa restoration. Aingawa kulikua hakuna jengo kama hilo hapo chamwino lakin ili kutunza history ya utawala kumerudiwa the same structure lakin in modernity. Hapo kila kitu cha kisasa.ingekuwa sawa unawaza majengo ya ghorofa vioo n.k basi Venice wana akil na hela nying tu ila nenda ukaone historic architecture ya Venice na jins inavyouza dunian.
akili fupi za mwendazake!Na mimi sielewi kwanini wamerudia ramani ile ile ya Dar ambayo ilijengwa na mkoloni,ndio kuitangazia dunia hatun uwezo wa kufanya mambo kwa akili zetu wenyewe?
..,Narudia, CHAWA Utawajua TU!...Hayo MAJIBU ya Waziri wa Elimu na Waziri wa Afya, Yana jipya Gani ambalo hatujalisikia huko Nyuma kiasi kwamba yamekuwa sasa kama Santuri iliyokwama na inajirudia rudia na haiendi mbele?? Fungua Macho !...!!!Ulikua unafuatilia Bunge? Je ulifuatilia majibu ya WAZIRI wa ELIMU na ya WAZIRI wa AFYA Da' Ummy? Ujue nyie CDM vichwa vyenu sijui vikoje....mnapenda kukandia KILA kitu....midomo kama kichungi...
Sio kweliItafunguliwa lkn watakaa dar[emoji45]
Kwani ni baya kiongozi?Yaani hata architects wa Victorian age wasinge design utopolo kama huu