Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Wapo wengi tu huko Geita na kwingineko. Watu wangapi wanakufa kwa kukosa hata dozi ya malaria tu? Ni wengi najua hilo. Akina mama wangapi wanajifungulia njiani kwasababu vituo vya afya vipo mbali mno na miundombinu ni mibaya?
Ndugu, mambo mengine ni gradual process. Huwezi kufanya yote ukayamaliza kwà wakati mmoja. Kila siku mambo yanabadirika...na Serikali ya Mama SAMIA inajitahidi sana KILA kukicha kuhakikisha hizi kero na changamoto zinafanyiwa Kazi.

Tushukuru kwà hii hatua tuliyofikia , na tuendelee kumsupport Rais wetu kwà kuwa Wazalendo, Waaminifu, Watiifu na Wanyenyekevu....kwà kufanya Kazi kwà Bidii na kwà kulipa Kodi pasipo shuruti.
 
So tungejenga tembe? Kingdom zilikuwepo na ni tembe.nenda village museum pale utaona. Nakupinga kuona uamuz huu unaona kama ilikua rahisi tu kufikiwa .vitu ving vimekua considered. Hapo kuna approaches nying zimekua considered. Heshimu mawazo ya wataalamu wetu
Ndio maana Tunasema wangeweza buni vitu tofauti,hizo tembe wangeweza kuweka in a modern ways Sio lazima iwe ya udongo....
Unaweza kuniambia japo vitatu tu Katika hivyo vingi walivyoconsider?hapo Lengo kuu ulishaniambia mwanzo ni restoration ya utawala,Sasa utawala wa waarabu kwa Nini tuufanyie restoration kwenye kizazi chetu Cha kitanzania?una tija gani kwa taifa....wangeendelea kurestore Yale majengo yaliyokuwepo tayari Sio kuendelea kuyajenga mapy....
Hata Ukienda falme za kiarabu majengo na design ni mpya Sasa sisi hiyo Said Seyyid Barghash inatukumbusha Nini?
Hao wataalamu wajiongezege basi Sio wanakula posho tu.
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"

Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"




View attachment 2628286
Ikulu si patakatifu bwana,sema ni sehemu kuu ya ulaji ,umimi,ufalme ndo maana Nyerere alikaa miaka 23 hakutaka kuondoka.Hadi alipoona afya yake inakuwa mgogoro ndo akaachia na wengine.
 
Ikulu si patakatifu bwana,sema ni sehemu kuu ya ulaji ,umimi,ufalme ndo maana Nyerere alikaa miaka 23 hakutaka kuondoka.Hadi alipoona afya yake inakuwa mgogoro ndo akaachia na wengine.
Ikulu ni mahala patakatifu, na ndipo ilipo madhabahu ya Serikali.

Na ndio maana inalindwa sana kuliko hata Rais alindwavyo.
 
Wewe huna Elimu ya architecture archaeology. Hapo kimefanyika kitu ambacho kinaitwa restoration. Aingawa kulikua hakuna jengo kama hilo hapo chamwino lakin ili kutunza history ya utawala kumerudiwa the same structure lakin in modernity. Hapo kila kitu cha kisasa.ingekuwa sawa unawaza majengo ya ghorofa vioo n.k basi Venice wana akil na hela nying tu ila nenda ukaone historic architecture ya Venice na jins inavyouza dunian.
Huna akili
 
Ulikua unafuatilia Bunge? Je ulifuatilia majibu ya WAZIRI wa ELIMU na ya WAZIRI wa AFYA Da' Ummy? Ujue nyie CDM vichwa vyenu sijui vikoje....mnapenda kukandia KILA kitu....midomo kama kichungi...
..,Narudia, CHAWA Utawajua TU!...Hayo MAJIBU ya Waziri wa Elimu na Waziri wa Afya, Yana jipya Gani ambalo hatujalisikia huko Nyuma kiasi kwamba yamekuwa sasa kama Santuri iliyokwama na inajirudia rudia na haiendi mbele?? Fungua Macho !...!!!
 
Back
Top Bottom