Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Kwa sala yote hiyo ndefu, sijaona popote ukifunguka kulaani viongozi mafisadi wanaokengeuka maadili ya viongozi hivi sasa na wapo wanaiba.

Unasema: "wakaogope na kubabaishwa"!

Wepi hao?

Mbona maombi yako ni kama dua la kuku anayeombea vifaranga wake wasikwapuliwe na mwewe?
Leo ukurasa mpya umefunguliwa. Yaliyopita si ndwele .....
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"








OMBI LANGU KWA MUNGU WANGU : Naomba huo MTI WA KUMBUKUMBU utakaopandwa na Mhe. Rais Leo hii, MUNGU akaupe uwezo wa kutoa VITISHO kwà kuwapa WOGA na WASIWASI mahasimu wote wasioitakia mema Nchi yetu, na pia ukawe na uwezo wa KUWABABAISHA maadui wote wenye nia ovu katika Taifa letu kwà kuwapa HOFU na MASHAKA makubwa.




View attachment 2628286


Hizi zilizopambwa ni Barabara za kwenda Ikulu au? Mbona pembeni Kuna vijumba vya watu vya ajabu ajabu?
20230520_160915.jpg
 


Hizi zilizopambwa ni Barabara za kwenda Ikulu au? Mbona pembeni Kuna vijumba vya watu vya ajabu ajabu?View attachment 2628830
Ndio maana kikaitwa Kijiji cha Chamwino.

Hakuna nyumba za Tembe hapo kijijini. Watu wanajenga majumba kila kukicha.

Kwenye hivyo unavyoviita vijumba vya ajabu...kama huna zaidi ya 5m hupati kiwanja hapo. KWANZA viwanja vimeishaisha maeneo hayo.
 
Back
Top Bottom