Kama sio Mzalendo kamwe haliwezi kukuvutiaKwakweli halivutii.
Sijaiona hiyo miti na maua unayosemaMiti ipo ya kutosha, na maua yapo ya kutosha. ( Ordinary ...ambayo sio mageni kwetu )
Nashauri, kwenye department ya mazingira kuwepo na mtu mtundu wa kuwa anakwenda kutafuta species adimu za maua na miti,...ili mazingira ya Ikulu yawe extraordinary
Una muda gani haujafika Dodoma?Sijaiona hiyo miti na maua unayosema
So umeona hii ya Gogoni ilivyonoga kuzungukwa na miti na maua
Ila Dom napo kukame sana aisee
Mimi binafsi naona ni jambo jema sana, Dodoma ishaanza kuwa mji wenye pilika nyingi, halafu utakuja kuwa mji mkubwa sana, nchi kubwa kama yetu inapendeza tukiwa na miji mingi mikubwa, sio tunakuwa na mji mmoja tu ndio una ukubwa wa mara tano kuliko miji yoteKupoteza fedha bure, hapakuwa na sababu ya msingi kuhamia Dodoma. Sababu za zamani zilizotolewa kuhamia Dodoma hazina maana tena leo katika digital world!
Wanafunzi hawana madarasa, madawati hakuna, vituo vya afya hakuna mnakwenda kujenga bonge la ikulu kwa fedha za mkopo kwaajili ya nini?Dodoma sehemu gani Ndugu? Nipo hapa na Mhe. Aweso anakusikiliza, au nikupe simu uongee nae kabisa?
Nimewahi kufika CameroonMimi binafsi naona ni jambo jema sana, Dodoma ishaanza kuwa mji wenye pilika nyingi, halafu utakuja kuwa mji mkubwa sana, nchi kubwa kama yetu inapendeza tukiwa na miji mingi mikubwa, sio tunakuwa na mji mmoja tu ndio una ukubwa wa mara tano kuliko miji yote
Nakuuliza swali na wewe unaniuliza swaliUna muda gani haujafika Dodoma?
Ulikua unafuatilia Bunge? Je ulifuatilia majibu ya WAZIRI wa ELIMU na ya WAZIRI wa AFYA Da' Ummy? Ujue nyie CDM vichwa vyenu sijui vikoje....mnapenda kukandia KILA kitu....midomo kama kichungi...Wanafunzi hawana madarasa, madawati hakuna, vituo vya afya hakuna mnakwenda kujenga bonge la ikulu kwa fedha za mkopo kwaajili ya nini?
SanaLipo vizuri
Dodoma ya sasa sio kama ya zamani. Now ni Green city kama ulikua hujui.Nakuuliza swali na wewe unaniuliza swali
Watanzania tuna shida
Wabongo bhana!!! Sasa Ikulu na nyumba ya Jay Z wapi na wapi?Haifikii nyumba mpya ya jay z
Imo/IpoMiti hamna
Imo/Ipo