Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"


View attachment 2628286
Msikiti huu Islamic state
 
Wewe huna Elimu ya architecture archaeology. Hapo kimefanyika kitu ambacho kinaitwa restoration. Aingawa kulikua hakuna jengo kama hilo hapo chamwino lakin ili kutunza history ya utawala kumerudiwa the same structure lakin in modernity. Hapo kila kitu cha kisasa.ingekuwa sawa unawaza majengo ya ghorofa vioo n.k basi Venice wana akil na hela nying tu ila nenda ukaone historic architecture ya Venice na jins inavyouza dunian.
Hiyo historia ya utawala Ina memory gani nzuri kwenye jamii ya Tanzania Hadi waifanyie restoration?kama issue ni restoration ya historia ya utawala kwani hatukuwa na kingdoms zetu kwenye pre colonial era?
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"


View attachment 2628286
Jumamosi siku ya kwanza ya Jumaa, Mosi ni moja, jumapili ni mbili, jumatatu ni tatu na kuendelea na mwisho wa juma ni ijumaa
 
Hiyo historia ya utawala Ina memory gani nzuri kwenye jamii ya Tanzania Hadi waifanyie restoration?kama issue ni restoration ya historia ya utawala kwani hatukuwa na kingdoms zetu kwenye pre colonial era?
So tungejenga tembe? Kingdom zilikuwepo na ni tembe.nenda village museum pale utaona. Nakupinga kuona uamuz huu unaona kama ilikua rahisi tu kufikiwa .vitu ving vimekua considered. Hapo kuna approaches nying zimekua considered. Heshimu mawazo ya wataalamu wetu
 
Jumamosi siku ya kwanza ya Jumaa, Mosi ni moja, jumapili ni mbili, jumatatu ni tatu na kuendelea na mwisho wa juma ni ijumaa
1. Inategemea unazihesabu kwà kutumia ubongo wa upande upi

2. Inategemeana na uliingiaje kwenye siku ya juzi, jana, leo, usiku au kesho kwà kutumia mguu gani


By the way, kwani wewe upo katika group gani la Damu?
91bb0c73c91a49fccf225380e2811624.jpg
 
Wapande miti na maua kupapendezesha zaidi
Miti ipo ya kutosha, na maua yapo ya kutosha. ( Ordinary ...ambayo sio mageni kwetu )

Nashauri, kwenye department ya mazingira kuwepo na mtu mtundu wa kuwa anakwenda kutafuta species adimu za maua na miti,...ili mazingira ya Ikulu yawe extraordinary
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"


View attachment 2628286
Watu Dodoma hawana maji ya kunywa mnakwenda kujenga ikulu kuubwa na hamuishi humo!
 
Back
Top Bottom