Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

MzeeKipusa

JF-Expert Member
Feb 10, 2023
2,706
4,923
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 Jumamosi na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"








OMBI LANGU KWA MUNGU WANGU : Naomba huo MTI WA KUMBUKUMBU utakaopandwa na Mhe. Rais Leo hii, MUNGU akaupe uwezo wa kutoa VITISHO kwà kuwapa WOGA na WASIWASI mahasimu wote wasioitakia mema Nchi yetu, na pia ukawe na uwezo wa KUWABABAISHA maadui wote wenye nia ovu katika Taifa letu kwà kuwapa HOFU na MASHAKA makubwa.




iku.jpg
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa tu na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"


View attachment 2628286
Kupoteza fedha bure, hapakuwa na sababu ya msingi kuhamia Dodoma. Sababu za zamani zilizotolewa kuhamia Dodoma hazina maana tena leo katika digital world!
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa tu na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"


View attachment 2628286
Zanzibarian style
 
Beauty is relative Mr.
Francis Hutcheson (1694 - 1746 CE). Beauty is subjective - it is based on the experience of pleasure that we have when we look at or listen to certain things. There are two types of beauty - Absolute Beauty, the kind of beauty to be found in nature, and Relative Beauty, the beauty that characterizes art.
 
Back
Top Bottom