Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Pale Magogoni ikulu ikageuzwa kuwa isolated area ambapo hata kupita pembeni ya ukuta iligeuzwa kosa la jinai. Barabara ya Barack Obama imefungwa imegeuka private road......

Yaani nchi hii raia wamegeuka kuwa adui namba moja wa serikali.

Haya mambo yalianzia kwa JK na baadaye JPM ndo kabisaa hali ikawa tete
CDM bhana! Yani nyie KILA kitu mnalalamika! Hamna jema!!! Daah
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa tu na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"


View attachment 2628286
design ya msikiti

1684558290601.png
 
Francis Hutcheson (1694 - 1746 CE). Beauty is subjective - it is based on the experience of pleasure that we have when we look at or listen to certain things. There are two types of beauty - Absolute Beauty, the kind of beauty to be found in nature, and Relative Beauty, the beauty that characterizes art.
baada ya hapo
 
Back
Top Bottom