MzeeKipusa
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 2,705
- 4,978
- Thread starter
- #181
Nshakujua wewe,....hizi ni hasira za Kukosa mualiko! Pole sana Ndugu.Nitasema Kweli Daima, fitina kwangu mwiko.
Je ninayoyakosoa ni ya uongo kwani?
Naunga vipi mkono mambo yanayolifanya Taifa na jamii kuwa kwenye mkwamo?
Chama changu kimekumbatia matajiri na majambazi
Na ndio maana nikasema , wale wote wasiokua wazelendo hawapaswi kufika IKULU