Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Nitasema Kweli Daima, fitina kwangu mwiko.

Je ninayoyakosoa ni ya uongo kwani?
Naunga vipi mkono mambo yanayolifanya Taifa na jamii kuwa kwenye mkwamo?

Chama changu kimekumbatia matajiri na majambazi
Nshakujua wewe,....hizi ni hasira za Kukosa mualiko! Pole sana Ndugu.

Na ndio maana nikasema , wale wote wasiokua wazelendo hawapaswi kufika IKULU
 
Pale Magogoni ikulu ikageuzwa kuwa isolated area ambapo hata kupita pembeni ya ukuta iligeuzwa kosa la jinai. Barabara ya Barack Obama imefungwa imegeuka private road......

Yaani nchi hii raia wamegeuka kuwa adui namba moja wa serikali.

Haya mambo yalianzia kwa JK na baadaye JPM ndo kabisaa hali ikawa tete
Ni kweli kabisa, enzi za Mwl tulikuwa tunakatiza jirani kabisa na fensi ya Ikulu na kuwashangaa Tausi na wanyama wengine bila tatizo lolote. It was public place...
 
Kesho naamia Burundi in mwigulu's voice
1807125282.jpg
1476888518.jpg
667289522.jpg
 
Hata kama haendeshi nchi vizuri, ni wajibu wetu kumuombea kwa Mungu amuongoze na kumlinda kiongozi wetu kwani yeye ndiye hutoa ulinzi na hekima
Bungeni kila siku wanaanza na dua, viongozi kila siku wakiungia madarakani wanaapa, tena kwa kushika vitabu vya dini lakini bado hawatendi haki, wanafanya ufisadi, wanadhulumu, wanaonea raia nk sasa unadhani hiyo dua yako ndiyo italeta mabadiliko?? Ikiwa unayelazimisha aombewe hana hata chembe ya kumuogopa Mungu unatarajia nini hapo? [emoji12] [emoji12]
 
Bungeni kila siku wanaanza na dua, viongozi kila siku wakiungia madarakani wanaapa, tena kwa kushika vitabu vya dini lakini bado hawatendi haki, wanafanya ufisadi, wanadhulumu, wanaonea raia nk sasa unadhani hiyo dua yako ndiyo italeta mabadiliko?? Ikiwa unayelazimisha aombewe hana hata chembe ya kumuogopa Mungu unatarajia nini hapo? [emoji12] [emoji12]
Wewe umejuaje kuwa hamuogopi Mungu?
 
Ulishasema KENYA, hapa ni Tz Bob!!!! Ni suala la uamuzi tu.

Hata wewe unaweza kuamua kuishi kwenye nyumba ya Tembe , huku jirani Yako akiishi katika nyumba ya masauzi.

Kumbuka sisi ni Matajiri sana kuliko hao kina Makenzi. Hatuwezi kuishi kiboyaboya
Akili za kiboya hizi...
 
Back
Top Bottom