Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Jengo la Ikulu, Chamwino Dodoma

Ulikua unafuatilia Bunge? Je ulifuatilia majibu ya WAZIRI wa ELIMU na ya WAZIRI wa AFYA Da' Ummy? Ujue nyie CDM vichwa vyenu sijui vikoje....mnapenda kukandia KILA kitu....midomo kama kichungi...
Unataka kusema nini kuhusu huyo waziri kwamba sasa kila mwanafunzi anakaa kwenye dawati na hakuna mwanafunzi anasomea chini ya mti?
 
Jengo la Ikulu , Chamwino Dodoma lina tarajiwa KUZINDULIWA leo tarehe 20. May. 2023 (Siku ya Sita ya Juma) na Mhe. Rais Dkt. SAMIA SULUHU HASSAN ( Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Awamu ya Sita )

Namuomba sana MUNGU, aliwekee WOGA, HOFU, WASIWASI na MASHAKA,.. ili liweze kukaliwa na watu sahihi. Na wale wasiokua sahihi wasipate nafasi hata ya kulisogelea.

"Ikulu ni mahala patakatifu" Mwl. Nyerere ( Hayati Baba Wa Taifa )

"MUNGU IBARIKI AFRIKA, MUNGU IBARIKI TANZANIA"


Note: Kama kuna wahusika, wanapitia huu uzi , tafadhali naomba wanicheki inbox , wanialike Ikulu nami nikaupate ubeche. Nafuatilia hapa via TV Clouds ( Kumedamshi sana ) #Nipo Kijijini Chamwino hapa nasubiria fungulia dog kama litakuepo.


View attachment 2628286
Mbona jangwa? Wameshindwa hata kupanda miti? Toka ilipoanza ujenzi mpaka Sasa pangekuwa na miti inayokua!
 
Pale Magogoni ikulu ikageuzwa kuwa isolated area ambapo hata kupita pembeni ya ukuta iligeuzwa kosa la jinai. Barabara ya Barack Obama imefungwa imegeuka private road......

Yaani nchi hii raia wamegeuka kuwa adui namba moja wa serikali.

Haya mambo yalianzia kwa JK na baadaye JPM ndo kabisaa hali ikawa tete
...Na tunaaminishwa kuwa ni Nchi ya ' Amani, Utulivu na Mshikamano'!
Nchi wanazouana Ovyo kama Marekani Ikulu ni Mahali pa Wananchi kutembelea na kupiga picha za Ukumbusho.kwenye Fence yake. Jaribu Tanzania....!!?
 
...Na tunaaminishwa kuwa ni Nchi ya ' Amani, Utulivu na Mshikamano'!
Nchi wanazouana Ovyo kama Marekani Ikulu ni Mahali pa Wananchi kutembelea na kupiga picha za Ukumbusho.kwenye Fence yake. Jaribu Tanzania....!!?
Huku Chamwino Dodoma, wapo free. Hawana shida kabisa. Na kwà hapa nje kuna Garden
 
Hata kama haendeshi nchi vizuri, ni wajibu wetu kumuombea kwa Mungu amuongoze na kumlinda kiongozi wetu kwani yeye ndiye hutoa ulinzi na hekima
...Unakuwa Wajibu Wetu vipi wa Kumuombea Kwa Mungu kama haendeshi Nchi Vizuri ??[emoji848]
Ungeweza Kumuombea mema Kwa Mungu Iddi Amina Dada wa Majirani ?? [emoji848][emoji848]
 
Back
Top Bottom