Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,545
- 81,366
Waliwekwa ila majangili wameshawauwaKwenye video za kutengeneza za hii ikulu kulikuwa na bustani za wanyama mbalimbali hapo nje,naomba kujua kama hao wanyama tayari wameshawekwa.
Waliwekwa ila majangili wameshawauwaKwenye video za kutengeneza za hii ikulu kulikuwa na bustani za wanyama mbalimbali hapo nje,naomba kujua kama hao wanyama tayari wameshawekwa.
Katiba ,inatengeneza Sana mazingira ya rushwa ikulu yetu rushwa ni nguzo ya kiuongozireally? ......kusingekuwa rushwa
Wewe ulitaka ijengwe kwà namna gani?Sure!sijui kulikuwa na haja gani kuenzi huo utumwa.....Watanzania hatuwazi nje ya box
Mzee kipusa,sawa uzalendo,Ila Sasa kwa Nini watukumbushe biashara ya utumwa lakini?Daaah [emoji23][emoji23][emoji23] kuweni Wazalendo hata kidogo basi!!
AseeeA very good observation! kama magofu ya waarabu wa Kilwa
now you are talking.....tz hakuna mwanasiasa asiye fisadi. Wanatofautiana tu kutegemea mazingira ya siasa walimo na mamlaka-cheo/uwezo/nafasi zao kikatiba, kisheria na kufichiwa uchafu wao.Katiba ,inatengeneza Sana mazingira ya rushwa ikulu yetu rushwa ni nguzo ya kiuongozi
Deceiving impression nje imejengwa hivyo kukuhadaa ndani ipo complexWenzetu Kenya wanatuzidi kiuchumi lakini cheki Ikulu yao, simple tu
Ingekuwa nafuu. Tungeenzi uafrika wetuMlitaka ijengwe kwà Tembe?
Mungu Ibariki AFRIKA piaMungu aibariki nchi yetu pendwa ya Tanzania.
Hapana,kujenga ikulu Kama masjid hajakaa poa.....kwani Hawa ma architecture Kwa Nini wasibuni design mpya?Kuna haja gani ya kung'ang'ania ukoloni?Wewe ulitaka ijengwe kwà namna gani?
Maana hata kama ingejengwa kwà wazo lako....wengine wangesema imejengwa Kijerumani, au Kireno...au Kiingereza....
Tuweni Wazalendo na Nchi yetu pls
Okbaada ya hapo
Ni kweli kabisaNdio maana eneo lake Ni KUBWA wataokuja miaka ijayo wataliongezea au kujenga jingine pia Kuna mengi ya Siri huwezi jua yapo ndani.
Kabisaaa......mfano zile hotel zinaezekwa nyasi au makuti,huwa zinavutia kuliko Huo u slave trade hapoIngekuwa nafuu. Tungeenzi uafrika wetu
Vipi kuhusu ULINZI na USALAMA wa Mhe. RaisIngekuwa nafuu. Tungeenzi uafrika wetu
Watu walale kama wapo ngurudoto hotel sio? Ikulu iezekwe nyasi? Kioo chenyewe hapo nadhani ni two layers capable of stopping a bullet na kama hawajafanya hivyo basi siku zijazo watalazimika kufanya hivyo. Nakumbuka kiongozi mkubwa wa USA alipokuja walinzi wale walikuja na vifaa maalumu vya kukinga risasi isipenye kwenye vioo kwenye hotel/room aliko fikiaKabisaaa......mfano zile hotel zinaezekwa nyasi au makuti,huwa zinavutia kuliko Huo u slave trade hapo
AminaNamuomba Mungu akawaweke malaika zake, walilinde...na wale wote wanaopata bahati ya kufanyia Kazi kwenye Jengo hilo wakaongozwe na Mungu katika utendaji wa Kazi zao, kwà UTIIFU mkubwa, UNYENYEKEVU, UAMINIFU na kwà UZALENDO
Bado watu wangesema tuKabisaaa......mfano zile hotel zinaezekwa nyasi au makuti,huwa zinavutia kuliko Huo u slave trade hapo
Wewe huna Elimu ya architecture archaeology. Hapo kimefanyika kitu ambacho kinaitwa restoration. Aingawa kulikua hakuna jengo kama hilo hapo chamwino lakin ili kutunza history ya utawala kumerudiwa the same structure lakin in modernity. Hapo kila kitu cha kisasa.ingekuwa sawa unawaza majengo ya ghorofa vioo n.k basi Venice wana akil na hela nying tu ila nenda ukaone historic architecture ya Venice na jins inavyouza dunian.Yaani hata architects wa Victorian age wasinge design utopolo kama huu
Sijamaanisha ijengwe Kama ngurudoto,,,nimemaanisha Ngurudoto inavutia kuliko hiyo...wangeweza kubuni mijengo mingine hivi Kuna ulazima gani wa kujengwa hiyo colonial design?Watu walale kama wapo ngurudoto hotel sio? Ikulu iezekwe nyasi? Kioo chenyewe hapo nadhani ni two layers capable of stopping a bullet na kama hawajafanya hivyo basi siku zijazo watalazimika kufanya hivyo. Nakumbuka kiongozi mkubwa wa USA alipokuja walinzi wale walikuja na vifaa maalumu vya kukinga risasi isipenye kwenye vioo kwenye hotel/room aliko fikia
Unafikir uamuz wa kurudia architecture ya jengo hilo ilikurupukiwa tu? Kwamba timu ya wataalam hawakufikiria chochote? Umekaa tu uko umelala utafikir fail lake ulilionaAisee haijanivutia,Kama masjid nurat