Jedwali la RA: Nani hayumo?

Gademu!!! this is what I call "case closed" kwani imejibu maswali karibu saba yaliyokuwa yananitatiza!! Thanks mkuu.. Mengine nakutumia kwenye PM.. maana ni too hot..

Bila kusahau Msatafa Mkullo alikuwa ndio Director wa NSSF hapo before , Kwahiyo alipoondoka aliacha watu wake wengi sana pale jikoni, kwahiyo madili yote ya kina RA yalikuwa yanapikwa na kupakuliwa na Vibaraka wa Mstaffa Mkullo.

Zawadi yake toka kwa RA ilikuwa ni Uwaziri wa Fedha
 
Kweli Nguvu ya RA ni kubwa, Kumbe mstaffa Mkullo ndio wale wazee wa degree Mills from Almeda University, Du na uwaziri wote wa fedha! .Kwamaana nyingine elimu na ujuzi haikuwa factor! Uwezo wako wa kumsaidia RA ndio determinant
 
hujajibu swali

lini kapuya kakaa kwenye bodi ya nssf? Kama nani?
sasa mzee mimi nijaribu kukitegeu hicho kitandawili, kwa kuhadithia hiyo hadithi, sasa ni uichukue au uikatae. Aliyesema alikuwa kwenye Board alipotoka, na si mimi hivyo sina jukumu la kumjibia lini alikuwa au hakuwa.
Au tuweke hivi alika kwenye Board in Proxy, kwa kuwaweka Board Members ambao watapitisha Mambo yake pamoja na DG. Hadithi yenyewe ndio hiyo take it or leave it uamuzi ni wako
 
Mwanzo ulidai hivi:



Uhusiano wake ni na manji..ameshakaa kwenye board ya nssf huyu..
1+1=2
RA=KAGODA ,KAGODA=MANJI'S FATHER, MANJI= QUALITY GROUP, QUALITY GODOWNS=NSSF=KAPUYA.
Yani u dont have to be a genius in this game!!

sasa unaposema Waziri ameshakaa kwenye bodi ya NSSF nimekuomba uniambie amekaa kama nani na lini kwenye hiyo bodi maana isije ikawa unareference kama ya Mwanakijiji kudai kuwa DR MTULIA alikuwa mwenyekiti wa NSSF alipoambiwa alete ushahidi akawa hana

then ukarudi na kudai hivi:


NSSF Iko chini ya wizara ya kazi na maendeleo ya Vijana, .....Kama waziri responsible na NSSF operation sikuelewi unataka maelezo gani zaidi

Hakuna anayebisha kuwa NSSF iko chini ya wizara ya kazi ni hiyo siyo siri,lakini hujajibu swali la msingi la madai yako kuwa waziri kapuya amekaa kwenye bodi ya NSSF sasa hebu tufafanulie ilikuwa ni lini na alikaa kwenye hiyo bodi kama nani

Its a very simple straight forward question
 
sasa mzee mimi nijaribu kukitegeu hicho kitandawili, kwa kuhadithia hiyo hadithi, sasa ni uichukue au uikatae. Aliyesema alikuwa kwenye Board alipotoka, na si mimi hivyo sina jukumu la kumjibia lini alikuwa au hakuwa.
Au tuweke hivi alika kwenye Board in Proxy, kwa kuwaweka Board Members ambao watapitisha Mambo yake pamoja na DG. Hadithi yenyewe ndio hiyo take it or leave it uamuzi ni wako

alaaa kumbe tuko kwenye mambo ya Vitendawili na hadithi?


issue kama iko wazi kwa nini tutumie hypothesis?

Unaposema by proxy sikuelewi..hivi kweli unajua namna bodi ya NSSF inavyochaguliwa au ndio mambo ya hadithi za paukwa pakawa?
 
alaaa kumbe tuko kwenye mambo ya Vitendawili na hadithi?


issue kama iko wazi kwa nini tutumie hypothesis?

Unaposema by proxy sikuelewi..hivi kweli unajua namna bodi ya NSSF inavyochaguliwa au ndio mambo ya hadithi za paukwa pakawa?
bodi ya nssf inachaguliwa kwa mapendekezo ya waziri husika ( waziri wa Kazi etc) Inavyotangazwa ni kwamba Raisi amemchagua So and So kama Chairman/ChairPerson wa Bodi na Waziri amewateua dash dash kama wajumbne wa Bodi, na ash Dash anawakilisha Wafanyakazi. upo hapo, na huo uwazi unaotaka ndio huo nilikueleza hapo mwanzo, sasa kama wewe ni mgumu wa kuelewa hilo ni shauri lako na mwalimu wako. Maana ungangania ( kwa wanawake wangesema Unashupalia)tu Kapuya alikuwa kwenye Bodi wakati nilisha kueleza aliyesema mwanzo kapotoka.
 
Hivi, wakuu nataka kujua moja.. najua JK hana ubavu pamoja na joho alovaa..Je, nani kati ya Chande na RA mwenye nguvu zaidi ya mwenzake.. Who is Don Coleone!

Ni yule anayekalia kile Kiti cha Mfalme Sulayman na wengine huingia humo kutoa heshima zao tena kwa siri sana........na hao ndio waendeshao nchi ati!!
 
Igunga residents defend Rostam
By Florence Mugarula

Some residents of Igunga constituency defended their Member of Parliament, Mr Rostam Aziz, who was named on Thursday by IPP chairman Reginald Mengi among "corruption sharks" in Tanzania.

Speaking to The Citizen, the residents who were participating at a fundraising event, said they know Mr Aziz as a good leader who has performed his responsibility well.

They also said the MP hugely assisted in developing Igunga constituency and Tabora region in general.

The chairperson of Nata Village Basket Fund in Igunga, Mr Raphael Kapaya, said they had confidence in Mr Aziz and were annoyed by Mr Mengi's attack on him.

"Mr Mengi's accusations do not hold water since the Government formed a team to probe different corruption cases that included EPA, Richmond and other scandals and our MP has not been indicted in any of them," he said.

Mr Hussein Mohammed Bashe, who was a losing contestant for the top office in the ruling party's youth wing elections, accused Mr Mengi of abusing the freedom of speech by attacking other people without providing evidence.

Mr Bashe remarked: "Mr Mengi has decided to become an investigator, prosecutor and judge at the same time. The country cannot go this way; he must change his attitude"

Mr Hamis Selemani, who came all the way from Tabora to Dar es Salaam, told this paper that his fellow constituents do not like to hear anything about the EPA and Richmond scandals.

He said they were focusing on development activities instead of wasting time to discuss corruption scandals.

"We are only focusing on development issues. I am here in Dar es Salaam to discuss important matters for my village, Mr Aziz is supporting us accordingly," he explained.

Addressing a news conference in Dar es Salaam on Thursday, Mr Mengi said the country was facing serious problems due to grand corruption. He said people who are involved in the scandals do not like to be touched.

Source: The Citizen, Monday, 27 April, 2009, page 6
 
naona bado uko kwenye vitendawili na hadithi

na narudia mwacheni Mwamvita Makamba peke yake kama alivyo
 
let me make it easy 4 ur guys/sis, kapuya kwa kutumia position yake ya waziri wa kazi at that time etc, alimpendkeza Mkurugenzi wa sasa wa NSSF toka Bandari, na Humba wa NHIF, ambaye alitegemea kupanda toka Deputy DG wa NSSF akawa bypassed. NSSF ya Dau ndio ikampa deal Manji la Mkopo wa kujenga hayo majengo yake ambayo alikuja wauzia NSSF over 100% or more ya Bei aliojengea,Sasa cha zaidi ni kuangalia Board Members waliopitishwa au recommended na Kapuya Wakati wake.
Hadithi Yenyewe ndio Hiyo

Duh! Dr Who!?!
 
Mwanzo ulidai hivi:





sasa unaposema Waziri ameshakaa kwenye bodi ya NSSF nimekuomba uniambie amekaa kama nani na lini kwenye hiyo bodi maana isije ikawa unareference kama ya Mwanakijiji kudai kuwa DR MTULIA alikuwa mwenyekiti wa NSSF alipoambiwa alete ushahidi akawa hana

then ukarudi na kudai hivi:




Hakuna anayebisha kuwa NSSF iko chini ya wizara ya kazi ni hiyo siyo siri,lakini hujajibu swali la msingi la madai yako kuwa waziri kapuya amekaa kwenye bodi ya NSSF sasa hebu tufafanulie ilikuwa ni lini na alikaa kwenye hiyo bodi kama nani

Its a very simple straight forward question

Spinning at a very low level!.

Ukisoma kwenye maandishi vizuri, mwandishi hajamaanisha Kapuya amekaa kwa maana ya kuwa mjumbe wa board. Bali kama waziri mwenye dhamana na NSSF na anapendekeza majina ya board members wa NSSF.

Ahahaaaaa!! , anyway I love this game!
 
Tom Mwang'onda alipewa billion moja na RA kumwangusha Mwandosya kwenye uchaguzi wa NEC na Mz apson amenufaika sana na RA- KAGODA!!!!!!!!!!!
 
Kwikwi ... hapa umekamatika

Labda Mkijiji ongeza jedwali special la walioko kwenye payroll ya RA

Game Theory cheo mtetezi wa RA na muharibu thread JF kwa ajili ya kumtetea!


heeheh! naomba asisahaulike Mtikila kwenye special Jedwali na Milioni zake alizopewa.
 
Back
Top Bottom