Katika kuyachunguza haya yote tusisahau kitu kimoja cha msingi. Historia ya Utawala wetu wa Tanzania tangia uhuru inaonyesha kuwa wanasiasa wetu hushikwa masikio na baadhi ya wafanyabiashara wachafu na wasafi.
Mfano: Mkapa alishikwa masikio na kina mzee Chande na cycle yake ya Freemansons, wakamfikisha kiama, wakatoa utu wake, wakamfumba macho, akageuza bunduki ya ulinzi wa uchumi wa Tanzania kuwa uuaji wa Uchumi.
Kikwete: Akawekwa na kina Rostam, at the time Kina Chande walikuwa wanamsupport Sumaye.Sasa Game Plan yote ya Utawala wa mheshimiwa ilikuwa mfukoni mwa mshikaji yaani Rostam. Wao ndio walikuwa HR wa serekali ya JK kwahiyo ukitaka kuandika mtirirko Just go to wizara ya utumishi na u paste appointment zote za mheshimiwa. Katika kuhakikisha wanamweka pembeni ya Domestic policy wakamtengenezea approach root iliyomfanya awe more Tanzania foreign policy salesman than a domestic policy decider.
Lakini tunayoyaona leo ni backlash kati ya Group la Rostam na kina mzee Chande and freemasons but what we are not ready to see is for Mheshimiwa ku switch side , maana ndio option laini aliyobakiza kwasasa which is the same dangarours kwa mandeleo ya Taifa kama yeye kuwa associated na RA. Bila kusahau hapo Mengi ni messenger wa kina mzee change kwasababu ni member wa freemansons usishangae hata uenyekiti wa CTI kaupataje that is another number chafu kwenye ngozi ya Kondoo we need to watch
Since kikwete he is in power Yupo katika postion nzuri sana yakusimama peke yake, for his own principles if he has one.
Principle hizo zitasaidia kumkimbia Rostam, Tatizo alilo nalo he has no one who is royal to him , all of the guys they are royal to RA.
Hivyo he has a chance to layout a platform kwa ajili ya uchaguzi wa 2010 kama nyezo mhimu kwa kikwete kujikomboa kutoka kwa RA
Mfano: Mkapa alishikwa masikio na kina mzee Chande na cycle yake ya Freemansons, wakamfikisha kiama, wakatoa utu wake, wakamfumba macho, akageuza bunduki ya ulinzi wa uchumi wa Tanzania kuwa uuaji wa Uchumi.
Kikwete: Akawekwa na kina Rostam, at the time Kina Chande walikuwa wanamsupport Sumaye.Sasa Game Plan yote ya Utawala wa mheshimiwa ilikuwa mfukoni mwa mshikaji yaani Rostam. Wao ndio walikuwa HR wa serekali ya JK kwahiyo ukitaka kuandika mtirirko Just go to wizara ya utumishi na u paste appointment zote za mheshimiwa. Katika kuhakikisha wanamweka pembeni ya Domestic policy wakamtengenezea approach root iliyomfanya awe more Tanzania foreign policy salesman than a domestic policy decider.
Lakini tunayoyaona leo ni backlash kati ya Group la Rostam na kina mzee Chande and freemasons but what we are not ready to see is for Mheshimiwa ku switch side , maana ndio option laini aliyobakiza kwasasa which is the same dangarours kwa mandeleo ya Taifa kama yeye kuwa associated na RA. Bila kusahau hapo Mengi ni messenger wa kina mzee change kwasababu ni member wa freemansons usishangae hata uenyekiti wa CTI kaupataje that is another number chafu kwenye ngozi ya Kondoo we need to watch
Since kikwete he is in power Yupo katika postion nzuri sana yakusimama peke yake, for his own principles if he has one.
Principle hizo zitasaidia kumkimbia Rostam, Tatizo alilo nalo he has no one who is royal to him , all of the guys they are royal to RA.
Hivyo he has a chance to layout a platform kwa ajili ya uchaguzi wa 2010 kama nyezo mhimu kwa kikwete kujikomboa kutoka kwa RA