Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Na tumeliwa kweli.
Ndodi kuanzia siku ya kwanza nilihisi ni tapeli maana alivokuwa akielezea vyakula almost Kila mtz alikuwa anakula sumu,halaf na lile tabasamu lake la kitapeli na alipoanza kuuza vyakula vyake nikajua ndo kabisaaaa Kuna watu wanaumizwa,Mara nikasikia na yy anakanisa nikajua baaaasi ,Ila kugundua tobo la kuwapiga watanzania raha Sana,mi mwnnyewe nipo nafanya utafiti kuna siku nitaibuka na kitu changu niwalize mnitafute kama hivi
 
Ndodi kuanzia siku ya kwanza nilihisi ni tapeli maana alivokuwa akielezea vyakula almost Kila mtz alikuwa anakula sumu,halaf na lile tabasamu lake la kitapeli na alipoanza kuuza vyakula vyake nikajua ndo kabisaaaa Kuna watu wanaumizwa,Mara nikasikia na yy anakanisa nikajua baaaasi ,Ila kugundua tobo la kuwapiga watanzania raha Sana,mi mwnnyewe nipo nafanya utafiti kuna siku nitaibuka na kitu changu niwalize mnitafute kama hivi
Mkuu tuone huruma wenzako,Vyuma vikaze,na wewe ututapeli,tutatoboa kweli???.
 
mambo mawili
la kwanza hao wadudu wamepandikizwa yaan wakuletwa wameundwa maabara

jambo la pili ambalo ndio kuu zaidi hawatumii mbegu za asili zile za zamani ambazo zilikuwa na uwezo wa kuhimili magonjwa kwa kiasi kikubwa unaweza mche 1 tu ukawa umeathirika na mingne ikawa poa lkn mbegh hizi za kisasa ugonjwa ukianza mche 1 tegemea shamba zima km ujamwagilia dawa zao

SOLUTION tutumie mbegu zetu za hasili za zamani kuepusha madhala

mana nimeshangaa siku hizi mpk mpunga unatiwa mbolea unapuliziwa na dawa aisee sasa hii si balaa inapoelekea mpk muhogo utawekwa mbolea aisee
Haya ni Mambo ya kitaalamu ndugu, usiongee ki layman
 
Yupo wapi now?
Dr.Ndodi yupo ninamsikiliza Mara kwa Mara Radio Uhuru kuanzia saa nne usiku karibu kila siku, hata hivyo kwa sasa amehama mwembe chai Magomeni,yupo sehemu moja maarufu kama kwa Ndodi ukipanda daladala za segerea-mbezi uliza stendi ya Kwa Ndodi yawezekana hapo in kwake
 
Hahah jamaa mswahili sana yule.

Anakwambia kwny tendo mwanamke ni kama chungu kinachelewa kupata moto na kinachelewa kupoa huku mwanaume ni kama sufuria linawahi kupata moto na linawahi kupoa.
dah nimeishi kuchunguza haka kamsemo kake nlisikia akikasema pale RFA miaka hiyo ila aliku na majina yule mtu utasikia kina zimudwangi
 
Hafu Hawa kina Dr ndondi waliibuka enzi za kina Jakaya, Mara Dr Rahabu, Mara Dr. Mwaka Yani mtu anajiita Dr na hajaenda kusoma bachelor ya medicine Muhimbili na serikali Ina mchekea tu.

Kama mwenye kaya alipewa u professa wa wachina unategemea nini
 
Hahah kipindi kile sijui hata tulikua na ujinga gani kichwani.

Ila zamani watu walikua wanajua kupiga saundi aiseee,Kuna mzee mnajimu alikua anaitwa Shekhe yahaya Channel 10 aisee nae alikua sio haba kwa Saundi,anakwambia mpnz mtazamaji hebu angalia hio video hapo ni supermarket na hayo unayoyaona hapo ni majini yaliyonaswa na camera za CCTV yakiingia kufanya shopping,hahah.

Hahaha...
 
Nakumbuka miaka ya kumi iliyopita huyu jamaa alikuwa anatangaza Sana Tiba mbadala. Maana alikuwa na swaga sio za nchi hii?
Kwa sasa sijui yuko wapi lakini from 2015 to 2020 alikuwa diwani wa kata ya Lukobe Manispaa ya Morogoro na alitumia pesa nyingi sana kupata udiwani na lengo lake kubwa ilikuwa ni kuwa Mayor lakini hakufanikiwa baada ya kuwa diwani hakupata yale aliyoyategemea na kupelekea kufulia sana kiuchumi, kituo chake cha tiba kilichokuwa kihonda magorofani kikapoteza muelekeo kwa kukosa wateja hivyo akaanza kuuza hadi magari yake na hata kuwatumikia wananchi wake alishindwa na kukimbilia dar hadi sasa. Maisha yanabadilika jamani huwezi kuamini ni yule Ndodi aliyekuwa anazunguka mikoani na watu wanamsubiri foleni ya hatari hadi kumuona alipiga pesa balaa
 
Kuna kipindi yalitangazwa mafuta ya ubuyu kua ni mafuta bora saana watu wakayanunua balaa mpk mafuta ya alizeti yakaanza kukosa soko maaara paap mkemia mkuu anakuja kutangaza mafuta ya ubuyu yana sumu.

Mchezo ukaishia hapo hapo,sasa sijui ilikua ni competition kati ya wauza ubuyu vs alizeti hata sielewi.
Yale yale ya Mayai ya Kware
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom