mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,195
- 49,117
Wala sijabisha mzee baba.Yupo sahihi lakini ujue?!
Wala sijabisha mzee baba.Yupo sahihi lakini ujue?!
Hahah jamaa mswahili sana yule.
Anakwambia kwny tendo mwanamke ni kama chungu kinachelewa kupata moto na kinachelewa kupoa huku mwanaume ni kama sufuria linawahi kupata moto na linawahi kupoa.


Yani ndondi alijua kukamata watu Sana hapo kapiga hela za wanawake na wanaume na bado anaongelea Mambo ya chungu na sufuriaMmmmmmhmn so mababu na bibi zetu ambao wamekula dona maisha yao yote hiyo Aflatoxin haikuwapo au ndio mzungu ni kama MUNGU anachosema na asikilizwe?!Unga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
Hahaaa vepe watu waliponaalitoa hadi dawa ya ukimwii
Hahahah yule jamaa kwny kuupepeta mdomo yuko njema.Yani ndondi alijua kukamata watu Sana hapo kapiga hela za wanawake na wanaume na bado anaongelea Mambo ya chungu na sufuria
Shukrani kwa hii elimu mkuu.Unga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
Sijui aisee dozi ya mkojo wako na juice ya carrot..labdaa ni vichaa tu waliamini ule utopoloooHahaaa vepe watu walipona
Yupo Hai jana nimemskia SAA 4 usiku akitangaza dawa zake radio UhuruKama sikosei ashafariki si alikuwa bonge hivi?
Hiyo kua na kitambi tu ni ishara kua ameshindwa kujisaidia yeye mwenyewe na hzo tiba lishe zakeAnakwambia:
Matumizi ya sukari siyo mazuri. Hizi soda tunazokunywa na sukari tunazoweka kwenye chai zinaharibu afya zetu badala yake inatakiwa utumie asali.
Kwanza asali siyo tamu kama unabisha lamba asali halafu sikilizia ule utamu wake mwishoni utaona asali ni chungu.
Kwahiyo jitahidini kutumia asali, achana na sukari achana na soda.
Kuna member humu akasema akiwa mgahawani mkoa fulani bwana ndodi akiwa na kitambi kimeiva alinunua ugali wa sembe(unga anaokataza), kuku nusu (wa kizungu na kaungwa mafuta anayokataza), alivyomaliza akashushia na fanta baridi.
Hafu Hawa kina Dr ndondi waliibuka enzi za kina Jakaya, Mara Dr Rahabu, Mara Dr. Mwaka Yani mtu anajiita Dr na hajaenda kusoma bachelor ya medicine Muhimbili na serikali Ina mchekea tu.Sijui aisee dozi ya mkojo wako na juice ya carrot..labdaa ni vichaa tu waliamini ule utopolooo
Hahahah yule jamaa kwny kuupepeta mdomo yuko njema.


aliwapata wengiUnga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
Mkuu hapa umetupiga fix, sumu kuvu (aflotoxin) haisababishwi na kiini bali uhifadhi mbaya ambao hupelekea mahindi kutengeneza kuvu hiyo kuvu sasa ndio huzalisha hiyo sumuUnga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
Hahah niliwahi kukutana nae ana bonge ya kitambi na hivi ni 'mrefu',alikua anaingia NMB na mabegi makubwa mawili meusi ya pesa na kipindi hicho alikua na semina kwny mkoa huo,nikajua ameshazikusanya za kutosha.
Hahahah yule jamaa kwny kuupepeta mdomo yuko njema.
We ulisikia wapi?Unga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
mambo mawiliUnatakiwa kuandaa vema mahindi yako.... Na usipende kutumia mahindi ambayo haujui yametokea wapi. Mengine wameyahifadhi na masumu ya wa dudu so ukisaga dona unakuwa katika hatari.
Mahindi mazuri ni yale unayawahi shambani kabla hayajapelekwa ghalani na kuwekwa dawa.
By the way, wakulima wetu tu miaka hii ni washamba na malimbukeni. Back in a day haya madawa ya kuzuia wadudu waharibifu hayakuwako na mahindi yalihifadhiwa vema tu na yakawa salama mwaka mzima na hata miaka.
Matumizi ya mapipa, na zile ghala za jadi. Tujifunze namna salama za kuhifadhi mazao tuachane na usenge wa kuiga kila tunacholetewa........ Ufala tu
Hizi alama za ' ' kwny neno mrefu hukuziona mzee baba sio au ulikurupushwa kidizaini?Jamani watanzania hebu tuacheni UONGO uliotukuka, ndodi ni mfupi wa kimo hizi hadithi mnatoa wapi kudanganya wanaJF?
View attachment 1592014View attachment 1592015