Fall Army Worm
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 19,371
- 14,481
Lkn sasa hivi Dona haifai kwasababu ya sumu kuvuDokta Ndodi ...yupo chimbo tu anaendeleza tiba mbadala.
Ndiye aliye promote matumizi ya unga wa dona badala ya sembe.
Lkn sasa hivi Dona haifai kwasababu ya sumu kuvuDokta Ndodi ...yupo chimbo tu anaendeleza tiba mbadala.
Ndiye aliye promote matumizi ya unga wa dona badala ya sembe.
Nakumbuka alisema wanawake Wana upungufu wa nguvu za kike na ana tiba yake



alitoa hadi dawa ya ukimwiiKwa hiyo ameshindwa kutumia tiba zake kuthibiti unene wa tumbo?Sasa hivi jamaa ana bonge la kitambi,sijui hata anambo.a.je.
Hahah jamaa mswahili sana yule.Nakumbuka alisema wanawake Wana upungufu wa nguvu za kike na ana tiba yake
Hii ni kweli mkuu?Lkn sasa hivi Dona haifai kwasababu ya sumu kuvu
Hahah niliwahi kukutana nae ana bonge ya kitambi na hivi ni 'mrefu', alikua anaingia NMB na mabegi makubwa mawili meusi ya pesa na kipindi hicho alikua na semina kwenye mkoa huo, nikajua ameshazikusanya za kutosha.na alikuwa ana shauri watu wapunguze vitambi vyao sio vizuri kiafya
Hahah jamaa mswahili sana yule.
Anakwambia kwny tendo mwanamke ni kama chungu kinachelewa kupata moto na kinachelewa kupoa huku mwanaume ni kama sufuria linawahi kupata moto na linawahi kupoa.
Unatakiwa kuandaa vema mahindi yako.... Na usipende kutumia mahindi ambayo haujui yametokea wapi. Mengine wameyahifadhi na masumu ya wa dudu so ukisaga dona unakuwa katika hatari.Lkn sasa hivi Dona haifai kwasababu ya sumu kuvu
Unga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).Hii ni kweli mkuu?
hahahah Labda ndio yale mambo ya mganga hajigangi mkuu.Kwa hiyo ameshindwa kutumia tiba zake kuthibiti unene wa tumbo?
Kama wewe hauna nguvu za kike kabisa. Unahitaji huduma za dokta NdodiNakumbuka alisema wanawake Wana upungufu wa nguvu za kike na ana tiba yake
Yupo sahihi lakini ujue?!Hahah jamaa mswahili sana yule.
Anakwambia kwny tendo mwanamke ni kama chungu kinachelewa kupata moto na kinachelewa kupoa huku mwanaume ni kama sufuria linawahi kupata moto na linawahi kupoa.
Mjumbe kazi yake ni kufikisha ujumbe sio kuishi kilichopo ndani ya ujumbe....Anakwambia:
Matumizi ya sukari siyo mazuri. Hizi soda tunazokunywa na sukari tunazoweka kwenye chai zinaharibu afya zetu badala yake inatakiwa utumie asali.
Kwanza asali siyo tamu kama unabisha lamba asali halafu sikilizia ule utamu wake mwishoni utaona asali ni chungu.
Kwahiyo jitahidini kutumia asali, achana na sukari achana na soda.
Kuna member humu akasema akiwa mgahawani mkoa fulani bwana ndodi akiwa na kitambi kimeiva alinunua ugali wa sembe(unga anaokataza), kuku nusu (wa kizungu na kaungwa mafuta anayokataza), alivyomaliza akashushia na fanta baridi.
Anakwambia:
Matumizi ya sukari siyo mazuri. Hizi soda tunazokunywa na sukari tunazoweka kwenye chai zinaharibu afya zetu badala yake inatakiwa utumie asali.
Kwanza asali siyo tamu kama unabisha lamba asali halafu sikilizia ule utamu wake mwishoni utaona asali ni chungu.
Kwahiyo jitahidini kutumia asali, achana na sukari achana na soda.
Kuna member humu akasema akiwa mgahawani mkoa fulani bwana ndodi akiwa na kitambi kimeiva alinunua ugali wa sembe(unga anaokataza), kuku nusu (wa kizungu na kaungwa mafuta anayokataza), alivyomaliza akashushia na fanta baridi.




Hahah niliwahi kukutana nae ana bonge ya kitambi na hivi ni 'mrefu',alikua anaingia NMB na mabegi makubwa mawili meusi ya pesa na kipindi hicho alikua na semina kwny mkoa huo,nikajua ameshazikusanya za kutosha.


wajinga ndio waliwao aisee, na kitambi chake kashakusanya hela huyo anasepa zake