Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

NENDA PALE MAGOMENI MWEMBE CHAI ALIKUWA NA KITUO CHAKE KIKUBWA TU
Tulimpeleka mtoto kwake akiwa anasumbuliwa na minyoo akatuambia matibabu yake ni laki tisa, yaani 900k au kwa jina lingine mia tisa elfu
 
Anakwambia:

Matumizi ya sukari siyo mazuri. Hizi soda tunazokunywa na sukari tunazoweka kwenye chai zinaharibu afya zetu badala yake inatakiwa utumie asali.
Kwanza asali siyo tamu kama unabisha lamba asali halafu sikilizia ule utamu wake mwishoni utaona asali ni chungu.

Kwahiyo jitahidini kutumia asali, achana na sukari achana na soda.

Kuna member humu akasema akiwa mgahawani mkoa fulani bwana ndodi akiwa na kitambi kimeiva alinunua ugali wa sembe(unga anaokataza), kuku nusu (wa kizungu na kaungwa mafuta anayokataza), alivyomaliza akashushia na fanta baridi.
 
Lkn sasa hivi Dona haifai kwasababu ya sumu kuvu
Unatakiwa kuandaa vema mahindi yako.... Na usipende kutumia mahindi ambayo haujui yametokea wapi. Mengine wameyahifadhi na masumu ya wa dudu so ukisaga dona unakuwa katika hatari.

Mahindi mazuri ni yale unayawahi shambani kabla hayajapelekwa ghalani na kuwekwa dawa.

By the way, wakulima wetu tu miaka hii ni washamba na malimbukeni. Back in a day haya madawa ya kuzuia wadudu waharibifu hayakuwako na mahindi yalihifadhiwa vema tu na yakawa salama mwaka mzima na hata miaka.

Matumizi ya mapipa, na zile ghala za jadi. Tujifunze namna salama za kuhifadhi mazao tuachane na usenge wa kuiga kila tunacholetewa........ Ufala tu
 
Hii ni kweli mkuu?
Unga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
 
Hahah jamaa mswahili sana yule.

Anakwambia kwny tendo mwanamke ni kama chungu kinachelewa kupata moto na kinachelewa kupoa huku mwanaume ni kama sufuria linawahi kupata moto na linawahi kupoa.
Yupo sahihi lakini ujue?!
 
Anakwambia:

Matumizi ya sukari siyo mazuri. Hizi soda tunazokunywa na sukari tunazoweka kwenye chai zinaharibu afya zetu badala yake inatakiwa utumie asali.
Kwanza asali siyo tamu kama unabisha lamba asali halafu sikilizia ule utamu wake mwishoni utaona asali ni chungu.

Kwahiyo jitahidini kutumia asali, achana na sukari achana na soda.

Kuna member humu akasema akiwa mgahawani mkoa fulani bwana ndodi akiwa na kitambi kimeiva alinunua ugali wa sembe(unga anaokataza), kuku nusu (wa kizungu na kaungwa mafuta anayokataza), alivyomaliza akashushia na fanta baridi.
Mjumbe kazi yake ni kufikisha ujumbe sio kuishi kilichopo ndani ya ujumbe....
 
Anakwambia:

Matumizi ya sukari siyo mazuri. Hizi soda tunazokunywa na sukari tunazoweka kwenye chai zinaharibu afya zetu badala yake inatakiwa utumie asali.
Kwanza asali siyo tamu kama unabisha lamba asali halafu sikilizia ule utamu wake mwishoni utaona asali ni chungu.

Kwahiyo jitahidini kutumia asali, achana na sukari achana na soda.

Kuna member humu akasema akiwa mgahawani mkoa fulani bwana ndodi akiwa na kitambi kimeiva alinunua ugali wa sembe(unga anaokataza), kuku nusu (wa kizungu na kaungwa mafuta anayokataza), alivyomaliza akashushia na fanta baridi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom