Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Je, Yu wapi Dkt. Isaac Ndodi?

Mkuu, ebu acha kuniaibisha basi.....
Nakumbuka May 2019 msemaji wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Bi Gaudensia Simwaza amesema, ulaji wa vyakula vilivyochafuliwa na kiasi kikubwa cha sumukuvu husababisha madhara ya kiafya ya muda mfupi na muda mrefu.
Madhara ambayo mtu anaweza kuyagundua baada ya muda mrefu kupita ni ya kuugua saratani ya ini, na madhara ya muda mfupi ni mlaji kuugua ugonjwa wa kuhara.
Tena aliongeza kwa kusema, sumu hiyo hupatikana kwenye mazao ya nafaka hasa mahindi na karanga, na kwamba walaji wa ugali wa dona wapo hatarini zaidi ikiwa hatua za uandaaji wa chakula hicho hautazingatiwa.
Hayo yamesemwa na Msemaji wa TFDA, Gaudensia Simwaza alipoulizwa kuhusu hatua zinazochukuliwa kudhibiti waandaaji wa unga wa dona nchini na madhara yanayoweza kumpata mtu endapo atakula chakula hasa ugali wa dona ambayo imechafuliwa na sumukuvu.
Tena aliongeza kwa kusema kwamba.....
Dona ina lishe na ni sahihi kuliwa, shida ni maandalizi ya unga wa dona. Ni lazima anayeandaa aoshe kwa umakini na usahihi kwani wengi huhifadhi mahindi na dawa.
Msemaji yupo sawa. Ila mimi napingana na wewe kwa sababu umesema dona in general kitu ambacho kinaleta wasiwasi kwa yeyote atakayesoma hiyo post . Haujawa specific kwamba dona isipoandaliwa Vizuri au isipotunzwa vizuri inaleta sumukuvu/Aflatoxin hapo ndio nikawa nakurekebisha
 
Msemaji yupo sawa. Ila mimi napingana na wewe kwa sababu umesema dona in general kitu ambacho kinaleta wasiwasi kwa yeyote atakayesoma hiyo post . Haujawa specific kwamba dona isipoandaliwa Vizuri au isipotunzwa vizuri inaleta sumukuvu/Aflatoxin hapo ndio nikawa nakurekebisha
Samahani mkuu, hilo neno (dona in general) umeliongeza wewe....
Asante
 
haaahaaahaa du we jamaa ndio umekuja na ushahidi wa picha kabisa. hapo katumia urefu lkn kamaanisha ufupi ndio maana aliweka alama hii '....'
Pamoja na kuweka hizo alama ni sahihi kuweka uthibitisho halisi maana jamii inaweuka siku hizi, mtu akisoma jambo hizo sanifu na alama mkato nk huwa zinapotea wkt wa kusoma.
 
Hafu Hawa kina Dr ndondi waliibuka enzi za kina Jakaya, Mara Dr Rahabu, Mara Dr. Mwaka Yani mtu anajiita Dr na hajaenda kusoma bachelor ya medicine Muhimbili na serikali Ina mchekea tu.
Bila kumsahau Mzee Ambilikile Mwasapile wa tiba ya kikombe kwa jero,kutoka pande za Samunge huko Liliondo.
 
Kuna kipindi yalitangazwa mafuta ya ubuyu kua ni mafuta bora saana watu wakayanunua balaa mpk mafuta ya alizeti yakaanza kukosa soko maaara paap mkemia mkuu anakuja kutangaza mafuta ya ubuyu yana sumu.

Mchezo ukaishia hapo hapo,sasa sijui ilikua ni competition kati ya wauza ubuyu vs alizeti hata sielewi.
Hahaha...hiyo inaitwa"Market Stimulation" yaani unaweza lima Bamia heka kibao...kisha ukaenda kutangaza kuwa zinaongeza "nguvu za kiume" ili kuongeza demand ya mazao yako wakija kushtuka si kweli,una nyumba mbezi beach..unaendesha V8 na mazaga kama yote...kifupi unakua ndo ushatoboa.
 
Pamoja na kuweka hizo alama ni sahihi kuweka uthibitisho halisi maana jamii inaweuka siku hizi, mtu akisoma jambo hizo sanifu na alama mkato nk huwa zinapotea wkt wa kusoma.
Kubali kuwa Ulikosea kumshambulia mtoa hoja kwamba ni muongo.
 
Nakumbuka alisema wanawake Wana upungufu wa nguvu za kike na ana tiba yake
Jamaa atakuwa hoi alitafuna sana sampuli nyingi mixer vvu akiamini tiba lishe, wahudumu mahotel na wateja wa kike.
 
Oleweni jamani, ata kama ulijiunga jf ukiwa kigori sasa hivi utakuwa uaneelekea kuzeeka kabisa
Mkuu wewe Kama umeoa na unaona umefanikiwa hongera Sana, Mimi bado nipo nipo Sana tunatofautiana vipaumbele, na Mimi nafurahi jinsi umri unavoongezeka maana Kuna wengi wa umri wangu hawapo duniani, kwanini nisifurahi kuzeeka jamani
 
Unga wa dona ni hatari kwa afya kwa sababu ya sumu inayoitwa 'aflatoxin" ambayo huwa ndani ya kiini cha mbegu ya mhindi. Ukikobolewa kiini uondolewa na kubaki unga mweupe (sembe).
Wengi sasa hawependi kula ugali wa sembe kwa sababu ya kukosa protini (iliyomo kwenye kiini). Lakini hasara ya kukosa hiyo protein ni ndogo sana kulinganisha na madhara ya "aflatoxin" itakayosababisha "cancer" mwilini mwa binadamu.
Wanasema mahindi hayajawahi kuwa chakula cha binadamu, hayo yalisemwa na wagunduzi zamani kabla mahindi hayo hao hayajazaliwa maabara (GMO) sasa jiulize kama yale ya asili sio chakula cha binadamu je haya ya kisasa je?
 
Katiiiiiiiiiikaaaah
Nimekumbuka hicho kiitikio kwenye wimbo wa kipindi chake
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom