Nautafuta sana ule wimbo...Unaitwaje?Duuh umenikumbusha kale kawimbo ""Eebaba Hakiiikaa natembea mm ni marehemu""
Nautafuta sana ule wimbo...Unaitwaje?Duuh umenikumbusha kale kawimbo ""Eebaba Hakiiikaa natembea mm ni marehemu""



Anakwambia:
Matumizi ya sukari siyo mazuri. Hizi soda tunazokunywa na sukari tunazoweka kwenye chai zinaharibu afya zetu badala yake inatakiwa utumie asali.
Kwanza asali siyo tamu kama unabisha lamba asali halafu sikilizia ule utamu wake mwishoni utaona asali ni chungu.
Kwahiyo jitahidini kutumia asali, achana na sukari achana na soda.
Kuna member humu akasema akiwa mgahawani mkoa fulani bwana ndodi akiwa na kitambi kimeiva alinunua ugali wa sembe(unga anaokataza), kuku nusu (wa kizungu na kaungwa mafuta anayokataza), alivyomaliza akashushia na fanta baridi.




Wazungu na mawakala wao..wametuweza... ... vyetu vyote ni sumu... na sisi tumetiwa upofu .. na ma Dr. wetu ndio kabisaaa.. .. kinga lazima zishuke.. ..Mmmmmmhmn so mababu na bibi zetu ambao wamekula dona maisha yao yote hiyo Aflatoxin haikuwapo au ndio mzungu ni kama MUNGU anachosema na asikilizwe?!
Unajua madhara ya kula masembe wewe?!
Unga wa dona unbalance virutubisho na ndio maana hata wagonjwa wa kisukari wanatakiwa kutumia huo na sio ule wa sembe. Sembe sio nzuri kwasababu inasababisha mwili kuzalisha kiwango kikubwa sana cha sukari inayotokana na wanga wake. Na mwishowe ndio watu wanakuwa na mifuta mwilini na haieleweki inatokea wapi.
Sijui aisee dozi ya mkojo wako na juice ya carrot..labdaa ni vichaa tu waliamini ule utopolooo
Nafahamu. Mahindi yangu huwa nachukulia shambaniMkuu....
Zamani watu walikula dona, madhara pengine hayakuwa makubwa. Hii ni kwa sababu lifestyle ya zamani ilikuwa tofauti, watu wakila vyakula vya asili zaidi.
Kwa lifestyle tunazoishi sasa, ni wazi kwamba kuwa exposed kwa risks kama hizi huongeza hatari ya kuathirika.
Epuka kula dona ambalo hujui mahindi yake yaliandaliwaje kwanza.
Kumbuka, wafanyabiashara wasio waaminifu huandaa unga bila kuosha mahindi na mara nyingine mahindi hayo huwa yaliwekwa dawa za kuua wadudu ghalani.
Inategemea,sio yote yenye sumuLkn sasa hivi Dona haifai kwasababu ya sumu kuvu
Sawa mkuuInategemea,sio yote yenye sumu
Jitahidi uoshe mahindi na kuanika kabla ya kusaga na kutumia
Tapeli yuleHuondoa vitambi vya wengine sio cha kwake.
Wenawe umetishaDr. Ndodi yupo anaendelea na shughuli zake. Kwa sasa kama uko mbali na Dar huwezi kujua maana yule Waziri aliyekwepa Twiga akavunjika mbavu alibadili kanuni ili kumkomoa Dr MWAKA kwa kupiga marufuku watu wa tiba mbadala kujitangaza kwenye TV au kubandika mabango mitaani.
Hapo kwenye dawa ya jino mkuu nisaidie kama ikikupendezaAmenisaidia mpka Leo hii ni najua dawa za jino na ninasaidia sana watu kijjn kwangu kwa tatizo lolote LA jino.endeleeni kuponda watu wanapona
Alafu alikuwa anadis kitambiYupo kaja tele!ana mitambi mpaka anashindwa pumua
Ova
Ye mwenyewe ana bonge la tambiAlafu alikuwa anadis kitambi
Malamba mawili Daslam kituo,shusha kwa Ndodi.Yule bwana aliyevuma kwenye runinga miaka ya nyuma kwa kutoa ushauri nasaha na tiba kwa maradhi tofauti ya Binadamu. Jamaa alikua mjanja mjanja fulani hivi nakumbuka alikuwa akipiga vita sana watu wenye vitambi lakini cha ajabu alipopata umaarufu na mambo kumwendea vema nae kitambi kikaja kwa Nguvu zote!
Tujuzane huyu mtu yupo wapi? Ina maana ameacha tiba zake mbadala?