Je, wewe unajiuza? Jiulize maswali haya

Je, wewe unajiuza? Jiulize maswali haya

Umejipindaaaaaa na ulijari wako kuandika gazeti lisilo na picha ya kuvutia........Hapo unaona ajabu lol!!!!!!! watu tumefanya wonders mpka tumezawadia miradi ya maana sembuse hiyo vitz!!!!!

Mkuu tinna cute marks zimegota 100 nn?
 
Last edited by a moderator:
hahahhahahhhahh like like
le manufacturer wapo
wengi sanaaaaa lol
mjini humu survival is for the fittest..
habar za kukaa unambwela bwela za nini wakati ukideka tu unatunzwa...

Miss u,,, happy new year
 
Ila ukiwa na pesa huwazi kuchunwa. Unazitoa tu kwa ufahari, tena unazitoa bila kukumbuka na unasahau, unamuacha mwanamke ndiyo anaangaika. Ila kama huna pesa, kila mwanamke atakachokufanyia utawaza mengi mara anauza/ananiuzia mambo kibao. Hata ukiombwa hindi tu utawaza mengi sana.
 
Umejipindaaaaaa na ulijari wako kuandika gazeti lisilo na picha ya kuvutia........Hapo unaona ajabu lol!!!!!!! watu tumefanya wonders mpka tumezawadia miradi ya maana sembuse hiyo vitz!!!!!

Manufacturer and Distributor..... U deserve... Hongera sana....😕😕😱😛🙄🙁😀
 
Malinda yapo?!
Hizo mbinu umerithi au umeiga kutoka uraiani.
Mi nnavyojua tunajifunza kitoka kwa wazazi.

Marinda yapo salama salmini........
Sa unauliza mbinu zikusaidie nn au na ww uko kikazi zaidi.......
 
Kula like kiongozi!!
Wengi wapo mjini kikazi zaidi..
 
Back
Top Bottom